Nick J Vuitton
Member
- Oct 6, 2016
- 58
- 156
Mkuu huu ugonjwa uliwahi nipata nilipulizia innovex ukaisha kabisaYes dah pole sana
Hii kwanza inasambazwa na maji sababu iko ardhini au vifaa vya shambani,jitahidi eneo ambalo limeathirika zaidi basi lipewe huduma peke yake usichanganye na eneo lingine. Jitahidi kuepuka kusababisha vidonda sababu kikitokea tu ndio hapo hapo mmea unapoanzia kuathirika jitahidi upulize dawa zenye copper zitakusaidia kuzuia maambukizi ya hewani kwa kuziba vidonda.
Kikubwa dawa hakuna ikiwa mapema unaweza tumia Trichodema ambao ni bacteria wanaokula bacteria waharibifu lakini inatakiwa ianze toka kwenye kitalu kwa sasa umechelewa.
Next time ukilima tumia mbegu inayovumilia hili tatizo kama kipato f1 ya east west seed,Tengeru 97 (sema hii ni nyanya duara) sinahakika ila ni kati ya kibo au east Africa seed
Iliyoshambuliwa ing'oe ikikaa inaendelea kuzalisha wadudu zaidi
Nahisi nimechelewa sana kujibu hili ilaa itasaidia wengineMkuu nimefanikiwa kufanya hilo zoezi na nilichoelewa ni kwamba kuna bacterial wilt.
Tazama picha
View attachment 706517
Nasubiri muongozo wako juu ya tiba
Shida ya nyanya kupasuka kipindi mvua zikiwa nyingi mfululizo kama hizi za elnino husababishwa na mini wataalamNahisi nimechelewa sana kujibu hili ilaa itasaidia wengine
Jitahidi sana kulima mbegu yenye ukinzani wa huu ugonjwa na kama umeona dalili shambani ng'oa Miche iliyoathirika then piga dawa INNOVEX Kwa dosage ya 30 ml per 20 litres ya maji changanya na ridomil gold au fungicide yenye kiambato Cha mancozeb na cymoxonil 60 gram piga Kwa pamoja tatizo litakwisha kabisa.
Majii yanakua mengi mno wakati nyanya ikiwa imekuzwa Kwa unyevu kidogo then maji yakaongezeka ghafla nyanya inaongeza ukubwa wa tunda wakati ganda la nje ni dogo ndipo hupelekea nyanya kupasuka.Shida ya nyanya kupasuka kipindi mvua zikiwa nyingi mfululizo kama hizi za elnino husababishwa na mini wataalam
Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile
Ukungu upi kuna magonjwa ya ukungu zaidi ya 30 yanayoathiri nyanya???
Inayomaliza kila ukungu ni Othello top inauzwa na balton bei yake haipungui
Mkuu naomba namba yako kama hutojali. Nipo Arusha nitakutafutaYes dah pole sana
Hii kwanza inasambazwa na maji sababu iko ardhini au vifaa vya shambani,jitahidi eneo ambalo limeathirika zaidi basi lipewe huduma peke yake usichanganye na eneo lingine. Jitahidi kuepuka kusababisha vidonda sababu kikitokea tu ndio hapo hapo mmea unapoanzia kuathirika jitahidi upulize dawa zenye copper zitakusaidia kuzuia maambukizi ya hewani kwa kuziba vidonda.
Kikubwa dawa hakuna ikiwa mapema unaweza tumia Trichodema ambao ni bacteria wanaokula bacteria waharibifu lakini inatakiwa ianze toka kwenye kitalu kwa sasa umechelewa.
Next time ukilima tumia mbegu inayovumilia hili tatizo kama kipato f1 ya east west seed,Tengeru 97 (sema hii ni nyanya duara) sinahakika ila ni kati ya kibo au east Africa seed
Iliyoshambuliwa ing'oe ikikaa inaendelea kuzalisha wadudu zaidi
Mkuu naomba niPM namba yakopoa kabla sijaenda Moro nitakuja kukutembelea
Bilà shaka huu ni mnyauko, miziz huanza kukauka so maji na virutubisho vinashindwa kupanda juu hivyo hupelekea mmea kunyauka na hatimaye kufa ata kama una matunda. Hii ni miongoni mwa magonjwa yanayosababishwa na udongo, jaribu kumuona mtaalamu wa kilimo atakupa ABC about it..Hii inasababishwa na nini wakuu
Shukrani sana mkubwaBilà shaka huu ni mnyauko, miziz huanza kukauka so maji na virutubisho vinashindwa kupanda juu hivyo hupelekea mmea kunyauka na hatimaye kufa ata kama una matunda. Hii ni miongoni mwa magonjwa yanayosababishwa na udongo, jaribu kumuona mtaalamu wa kilimo atakupa ABC about it..
Na dawa yake ni ipiHii inasababishwa na nini wakuu
Hapa kuna Calcium deficiency ama Kutokana na Joto, umwagiliaji wako wa maji haujaMeet demand ya Miche yako, Hivyo, Jitahidi kwenye routine ya maji lakini pia Piga mbolea ya juu ambayo ni rich in micro elements particularly Calcium kama Wuxal ambayo ni excellent sana. Na mbolea ya chini tumia CAN, au ukipata Yara Minner ni super zaidi.Maji ndo dawa ya uo ugonjwa...inaonyesha miche hukuipa maji ya kutosha ama ulikuwa unamwagia kwa wingi ili kesho usimwagie...sekta ya umwagiliaji ni pana sana unatakiwa umwagie maji ya kutosha ila yasizidi sana na unatakiwa uzingatie muda kama ni kwa wiki mara tatu iwe ndio sheria hiyo hiyo sio unabadilika badilika....mimea ipo kama binaadam...
Mkuu hivi kuna mbolea ya maji ya kukuza mmea na ya kuzalisha?Hapa kuna Calcium deficiency ama Kutokana na Joto, umwagiliaji wako wa maji haujaMeet demand ya Miche yako, Hivyo, Jitahidi kwenye routine ya maji lakini pia Piga mbolea ya juu ambayo ni rich in micro elements particularly Calcium kama Wuxal ambayo ni excellent sana. Na mbolea ya chini tumia CAN, au ukipata Yara Minner ni super zaidi.
Ndio mkuu, zipo nyingi kutoka makampuni tofauti. Mf. Busta zote ni mbolea za juu(fortified liquid fertilisers) na hutofautiana pia ubora. Tumia wuxal, Tanzanite, supergro, Vegimax. Au rich in calcium mf. Calcium matchMkuu hivi kuna mbolea ya maji ya kukuza mmea na ya kuzalisha?
Shukrani mkuu...ila lengo langu nitumie mbolea za maji kwenye kilimo cha ufuta sasa kuna mtu alinieleza kuwa hizi mbolea za maji zipo za kupandia,kukuzia na kuzalisha hivi je kuna ukweli wowote?Ndio mkuu, zipo nyingi kutoka makampuni tofauti. Mf. Busta zote ni mbolea za juu(fortified liquid fertilisers) na hutofautiana pia ubora. Tumia wuxal, Tanzanite, supergro, Vegimax. Au rich in calcium mf. Calcium match