mchawi wa kusini
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 805
- 810
Habari ya asubuhi Wana JF poleni Kwa matokeo yaliotokea Na Wenye furaha hongereni. Ngoja Niende Kwenye Point Kuhusu Simba SC kufungwa Goal nyingi zidi ya mtani wake yanga. Huku Simba SC akiwa chini ya mwenyeki Murtuza Mangungu.
Sababu ya Kufungwa Simba Moja Kuna Vina 7 inaonyesha ile mechi ndani ya Simba Kuna usaliti umetokea, hivyo Mechi ile Ndani ya uongozi ya Simba SC Kuwa watu wameuza Siraha Zao Kwa mpizani.
Hivyo Hakuna Haja Ya kuendelea Kuendelea Wajue kabisa Kuna yuda pale Simba SC Huyu MURTUZA MANGUNGU Ni yuda Aliyejificha ndani ya Simba SC
Kuna hatua zichukulie Juu ya Mwenyeki wa Simba SC Ndani ya saa 72 huyu Anayejiita Murtuza Mangungu
Kubwa Zaidi Murtuza Mangungu Anatakiwa Ajiuzulu ndani Ya Saa 72 Kama asipojiuzulu Simba SC hatakuja Kumfunga Yanga Miaka yote Atapokaa pale Murtuza Mangungu ni yuda ambaye Amejigicha.
Ombi langu: VIONGOZI NA MASHABIKI WA SIMBA SC MPENI MURTUZA MANGUNGU NDANI YA SAA 72 AWE AMESHAJIUZUHUTU KWA RIDHAA YAKE.
Hapo mtakuja Kunishukuru Baadae.
Karibuni Kwenye Mjadala
Shukrani Kwa Wote JF.
Sababu ya Kufungwa Simba Moja Kuna Vina 7 inaonyesha ile mechi ndani ya Simba Kuna usaliti umetokea, hivyo Mechi ile Ndani ya uongozi ya Simba SC Kuwa watu wameuza Siraha Zao Kwa mpizani.
Hivyo Hakuna Haja Ya kuendelea Kuendelea Wajue kabisa Kuna yuda pale Simba SC Huyu MURTUZA MANGUNGU Ni yuda Aliyejificha ndani ya Simba SC
Kuna hatua zichukulie Juu ya Mwenyeki wa Simba SC Ndani ya saa 72 huyu Anayejiita Murtuza Mangungu
Kubwa Zaidi Murtuza Mangungu Anatakiwa Ajiuzulu ndani Ya Saa 72 Kama asipojiuzulu Simba SC hatakuja Kumfunga Yanga Miaka yote Atapokaa pale Murtuza Mangungu ni yuda ambaye Amejigicha.
Ombi langu: VIONGOZI NA MASHABIKI WA SIMBA SC MPENI MURTUZA MANGUNGU NDANI YA SAA 72 AWE AMESHAJIUZUHUTU KWA RIDHAA YAKE.
Hapo mtakuja Kunishukuru Baadae.
Karibuni Kwenye Mjadala
Shukrani Kwa Wote JF.