Ya kweli hayo mkuu??Tayari kashapiga goli
Wanaongoza moja bila.. Kafunga samatta dk ya 24Ya kweli hayo mkuu??
Safi sana aisee, atuwakilishe vema huko nje.Wanaongoza moja bila.. Kafunga samatta dk ya 24
Mtangazaji anasema anashangaa kama bado atakuwa Genk mwakani kwa maana atanunuliwa na timu kubwaSafi sana aisee, atuwakilishe vema huko nje.
Moja ya kipengele cha mkataba wake ni kuwezesha kuchukuliwa vipaji zaidi kila mwaka toka hapa Tanzania, yaani Genk itakua kila mwaka inakuja kuchukua vijana hapa.
Akifanya vizuri atajenga base kubwa sana ya jamaa kutamani kurudi kusaka vipaji
Dah, kama inaleta neema kwake aende tu maana kikubwa maslahiMtangazaji anasema anashangaa kama bado atakuwa Genk mwakani kwa maana atanunuliwa na timu kubwa
la pili.kwenye mechi 3 japo hii ndio ya kwanza kwa kuanza first elevenKafunga goli la kwanza leo
kaazi kweli....Yani niangalie mechi kisa mchezaji mmoja??
Fox Sports au Fox Entertainment?
hahaaha... wabongo bana.Ni leo j.pili au au ilikuwa jana jumamosi?
Hii thread haipo kwa ajiri yako! Unaongea as if umetumiwa message! Wivu Tu huna lolote!Yani niangalie mechi kisa mchezaji mmoja??