Abubakar Abdallah
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 281
- 170
hahahaUkiona mtu kapaka Makeup jua yupo down hivyo anataka awe juu.
Make up ni kwaajili ya kuweka uzuri bandia ili ajifananishe na msichana mzuri. Asilia kubwa wanaofanya hivyo ni wanawake waliokata taa. Eidha anadanga au umri umeenda na uso hautazamiki tena. Kakata senta bolt.
Nawachukia sana. Ukiona mtu anamakeup hakufai labda kuosha rungu tu kisha unasepa.
Cha ajabu wanaume mnaopinga make up, huwa mnakua na magoma yaliyopiga make up hadi yamekua kama zombi, goma limejikrimu hadi linaelekea kuwa la kijani
Nimekupenda hivyo hivyo usije tumia tafadhaliSijawahi kutumia
Oga vizuri paka mafuta yako au lotion,na ujiache na mwonekano wako ukiwa natural,sio unajipiga varnish sjui polish,af unatembea ghafla mawingu yanatanda na kaumatone kwa mbaaal,..........unashangaa jitu linatoka speed km linasukumwa na upepo,kumbe anatetea rangi yake ya mbao.....,kumbe wadada wanajua riadha ila tu ni kwa msimu wa mvua...
basi wewe unadanga km alivyosema @figaniga hapo juu !teh teh !hehehe (jokes)!mie natumia makeup mara moja moja nikiwa na mod ya makeup !hapa toka nov sijaaply kitu zaid ya kutinda nyusi na kuapply lipstic !Ninatumia make up kila nikitoka asubuhi
Ninavyozidi kuchana kalenda ndiyo budget ya make up inavyoongezeka.basi wewe unadanga km alivyosema @figaniga hapo juu !teh teh !hehehe (jokes)!mie natumia makeup mara moja moja nikiwa na mod ya makeup !hapa toka nov sijaaply kitu zaid ya kutinda nyusi na kuapply lipstic !
Duh?Ninavyozidi kuchana kalenda ndiyo budget ya make up inavyoongezeka.
watuache ! sijui huwa wanawaza nn kusema tunataka kupendeza eti kuna vitu nyuma ya pazia !uwiiii !pole zenuNinavyozidi kuchana kalenda ndiyo budget ya make up inavyoongezeka.
watuache na makeup zetu !hamtununulii shida ni nn !lolNinavyozidi kuchana kalenda ndiyo budget ya make up inavyoongezeka.
Nikienda kununua ninahakikisha mr hayuko, maana cashier anakwambia laki tatu. Unaweza kuulizwa hela hii ni ya hili vumbi hili?watuache na makeup zetu !hamtununulii shida ni nn !lol
Duu hii kwangu ni mpya mkuuEti mtu akipaka mekapu hataki kunywa chai rangi itapauka