Abubakar Abdallah
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 281
- 170
Oga vizuri paka mafuta yako au lotion,na ujiache na mwonekano wako ukiwa natural,sio unajipiga varnish sijui polish,alafu unatembea ghafla mawingu yanatanda na kaumatone kwa mbaaali, unashangaa jitu linatoka speed kama linasukumwa na upepo,kumbe anatetea rangi yake ya mbao kumbe wadada wanajua raidha ila tu ni kwa msimu wa mvua.