Elihuruma Nyari
Member
- Mar 14, 2014
- 90
- 6
HALOO jumamos(12/04/2014) hii kuna semina kali sana,itakayofanyikia ubungo plaza(blue pearl) saa saba na nusu mchana.inahusu uwekezaji TANZANIA.ipo chini ya Recon Brown wa south Africa na utajifunza namna gani ya kuwekeza mtaji mdgo wa laki mbili na ndani ya miezi mitatu utaanza kupata 1.2MILLION KILA MWEZI.kila atakayefika kuna hela na vinywaji vitatolewa.kama utafika nijulishe ili jina lako liorodheshwe mapema.
kwa maelzo zaidi 0766789288 kwa booking mapema
Kuna pesa na vinywaji?nami nakuja
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Hahahahaha nimecheka hadi machozi kunitoka nimekuhurumia ati unaenda kupata pesa na vinywaji! !
Ninachofahamu unalipia pesa kama 30,000 au 50,000 kuna nyingine ata zaidi ya laki 3.
Harafu ndio utapewa kinywaji ( maji) na utapewa hiyo elimu
HALOO jumamos(12/04/2014) hii kuna semina kali sana,itakayofanyikia ubungo plaza(blue pearl) saa saba na nusu mchana.inahusu uwekezaji TANZANIA.ipo chini ya Recon Brown wa south Africa na utajifunza namna gani ya kuwekeza mtaji mdgo wa laki mbili na ndani ya miezi mitatu utaanza kupata 1.2MILLION KILA MWEZI.kila atakayefika kuna hela na vinywaji vitatolewa.kama utafika nijulishe ili jina lako liorodheshwe mapema.
kwa maelzo zaidi 0766789288 kwa booking mapema