Wana jf wote mnakaribishwa ktka part tajwa hapo juu na itafanyika kwenye fukwe moja matata kigamboni watu watalewa kwa uzito wa pochi zao.. usafiri wa kukufikisha eneo la tukio upo haijalishi unatoka wapi ila iwe ni Dsm ..kwa wale wazee wa kula kula imekula kwenu hapa ni kinywaji tu kula nyumbani kwako..ulinzi ni wakutosha ..ila ukija na demu mzuri unatafuta lawama njoo na wakawaida tu..mwisho wa part kila mshiriki atapewa zawadi ambayo hataisahau maisha yake yote..anayehitaji kuhudhuria ani PM nimpe maelekezo.