Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,107
- 2,506
Vijana wa mujini hao baba! Au tukupe ilmu ya kuelewa lugha baba? ila Fidel80 ipo siku nitamkamata na castle yake ngoja!Ama kweli uzee unaninyemelea kwa kasi.... Yaani nimetoka kapa hapa sijaelewa chochote kinacho jadiliwa na hawa vijana wa Mujini!