Kama ndio hivyo inabidi niingize mwenyewe vocha zangu, kama kuna mtu kaniwahi basi.
Hivi mnafanya vitu gani humu JF mpaka mnakua na wasiwasi kiasi hiko. Na kama kuna kitu umefanya cha kufanya utafutwe utakua mpumbavu kukamatwa kwa ajili ya vocha ya buku.