JF tuwe creative

Siwezi kununua zawadi ya picha zamtandaoni....yani sioni sababu. SORRY!If someone is worth my money i‘ll buy something and send it to him/her.
kaa kimya watu wanatoa mawazo yao we ni niaje?
 
Ndio maana nimesema MIMI SIWEZI na sio wote wapinge!
 
Kwa akili yako FUPI umeona mimi nimetoa mawazo yako?!ya ukoo au ya nchi?!
ile thread ya watu wabishi sijui iko wapi..lizzy haya yalikuwa ni mawazo yangu tu sio lazima iwe hivyo.
 
ile thread ya watu wabishi sijui iko wapi..lizzy haya yalikuwa ni mawazo yangu tu sio lazima iwe hivyo.
Nashangaa bado hujataka kunielewa.Hamna sehemu niliyosema sio mawazo mazuri au umekosea.Nilichofanya ni kujisemea mimi binafsi sitotumia kwasababu sioni umuhimu wa kufanya hivyo.Hii haina maana kwamba kila mtu haimfai....unless ulitaka wanaounga mkono moja kwa moja tu ndo wachangie nadhani sijakosea chochote.Either way ...samahanini sana kama nimewakera na mchango wangu usiounga mkono hoja.
 
Nimesoma comment nne za hapo juu nikadhani niko jukwaa la chit chat. kumbe ni teknolojia .
 
o que você está falando de pessoas?
 
Hili wazo ni zuri lakini inabidi kufanya utafiti zaidi, kwanza kwa nini Facebook wamefunga wakati wao ni waroho wa pesa kuliko JF?, pili jee hili jambo linaendana na utamaduni wetu? Yaani je Mtanzania anaweza kutoa fedha kununua picha ya chocolate au gari? Ikiwa software tunachakachua, je Picha ya gari? Nadhani tunahitaji kufanya utafiti ni vitu vya aina gani sisi tunaweza kununua, kwani unaweza kuanzisha kitu tukaishia kuwa na gharama kubwa kuliko mapato, ikaingia kitu inaitwa hasara, ambaye ni adui wa kwanza katika Biashara, inaua biashara kuliko ugonjwa mwingine wowote. Ni wazo tu.
 
.. Homens i tenho a coisa por AfroDenzi,qualquer de aconselhamento?

mmmhhh
umenisema niambie tu umesema nini
juu yangu dear.. ni tumie PM kama ni kitu kizuri
hahahah lol kama ni kibaya mezea tu mmhh
 
.. Homens eu tenho a coisa por AfroDenzi,qualquer de aconselhamento?
Tenha calma e **** com ela.mas vamos voltar sobre a nossa tema (Jf tuwe creative)Santa Ivuga,porfavor tou a pedir so 1 endereço de portuguese ou as linguas k eu posso ler(se tu tens),para eu consiguir ver aquele que tas falando pk e uma boa ideia.obrigado mais outra vez.
 
tukubali changes bana hao watakao uza wameamua hivyo na outcomes zake zinajulikana so la muhimu nadhani tuangalie jambo hili linafanikiwa vipi.
au sio jombi. kama tukiona haitufai pia tutaomba waitoe.
 
i didn't know that! As i said the idea is awesome on paper but in real life,with all economic problems,i don't think so! But conglats to ivuga good idea though!
 
Eu agradeço-te meu amigo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…