Sasa kama wana JF wanaendeleza siasa za uwoga na mambo ya chinichini inakuwa sio mfano mzuri.
Mimi nitataja watu ninaofikiri kuwa watawania ubunge 2010.
1.Kitila Mkumbo.
2.Fisadi mtoto
3.Bubu Ataka Kusema
4.Geoff
5.FMES
6.Masanilo
7.AmaniGK
Hizi ni speculations, na naamini watu hao niliowataja wanaweza kuendesha kampeni kamilifu ndani ya Bongo, i mean ''field politics''.