Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,151
- 159,076
Sasa unatoa macho unamjua?
Yaani nilitoa macho mpaka nikachokaa!!
Sasa unatoa macho unamjua?
Yaani nilitoa macho mpaka nikachokaa!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hatari sana *****! Kilichotokea huko hakiambiliki, tuwaache tu maana washapoteana.Hahaha kuna ids 2 za watu maarufu walikuwa wana bebishana sana humu
Baadae sijui ikawaje wakapigana chini n jamaa aka change id faster sijui ninini kilicho wakuta
Hivi kirefu cha neno (Ex) ni nini?Whatever hujui nan ni nani humu. Unaweza chati na mtu kumbe ni ex wako
hatari sana *****! Kilichotokea huko hakiambiliki, tuwaache tu maana washapoteana.
Sasa unatoa macho unamjua?
Zaidi ya kutaka kutaste jollof rice sijui kingine. Kafanyaje?umemuona Card Nigeria?
hatari sana check Insta story yakeZaidi ya kutaka kutaste jollof rice sijui kingine. Kafanyaje?
jinsia ya pili inanipa stress jaman,tupendane wenyewe tu jamani. ukifika Kibaha Nipm 😘
ahaha nikiona notification yako Moyo unaendaga mbio atiiJuzi si umenikimbia wewe mwanakamati?! Sina hamu mimi kabisaa
Nione mtu anatumia JF
Hahaha kuna ids 2 za watu maarufu walikuwa wana bebishana sana humu
Baadae sijui ikawaje wakapigana chini n jamaa aka change id faster sijui ninini kilicho wakuta
Chizi we!!
Wawe wanatupa tu updates jamani, maana mbona mengine walitushirikisha!!!
Halafu ni kama bibie aliolewa na mwingine.Hahaa unataka kuwaua watu kwa pressure