Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,209
- 88,016
- Thread starter
- #1,081
JF-get together party Disemba 2018 - JamiiForumsCount on me.. Bt hakikisha watu hawapigi picha...
JF-get together party Disemba 2018
JF-get together party Disemba 2018 - JamiiForumsCount on me.. Bt hakikisha watu hawapigi picha...
JF-get together party Disemba 2018 - JamiiForumsNipe summary mkuu..
Mchango sh ngapi? Natuma wapi ? Location na vitu vingine..
Nasikia umeshalipia.Hahahaha kwann usubiri ripoti?
Na si kuungana na wenzako?
Mchango ni 30kMchango usizid elfu10
Siendi ng'oo kwa hela hiyoMchango ni 30k
Ninaahidi Nitashiriki.Nimekua nikiwaza sana kwanini wana JF hatukutani hata mara moja kwa mwaka? Wengi mnaogopa kujulikana identity zenu lakini kwani ukija sehemu yenye watu 100 na ukajitambulisha wewe Gladys na huku unatumia Mzigua nani atakaekujua?
Tuacheni woga bwana tupangeni tukutane hata tugonge glass tubadilishane story mbili tatu atakaejitambulisha kwa Id yake itakua ni mapenzi yake.
Mkiunga mkono hoja wale waloandaa mwaka ulee tutawaomba waandae na mwaka huu tukutane maana ya mwaka ule inaniuma kweli kuikosa mpenda bata mimi.
UPDATE
Tumeshaarrange kila kitu kuhusu party kama date, location, dress code, Mchango na kila kitu.
Madame B atakuja na Uzi kuelezea mchakato mzima.
Mambo ni hiviiiiiii
Aisee lini hiyo mkuu? Hii si ya kukosa!!Nimekua nikiwaza sana kwanini wana JF hatukutani hata mara moja kwa mwaka? Wengi mnaogopa kujulikana identity zenu lakini kwani ukija sehemu yenye watu 100 na ukajitambulisha wewe Gladys na huku unatumia Mzigua nani atakaekujua?
Tuacheni woga bwana tupangeni tukutane hata tugonge glass tubadilishane story mbili tatu atakaejitambulisha kwa Id yake itakua ni mapenzi yake.
Mkiunga mkono hoja wale waloandaa mwaka ulee tutawaomba waandae na mwaka huu tukutane maana ya mwaka ule inaniuma kweli kuikosa mpenda bata mimi.
UPDATE
Tumeshaarrange kila kitu kuhusu party kama date, location, dress code, Mchango na kila kitu.
Madame B atakuja na Uzi kuelezea mchakato mzima.
Mambo ni hiviiiiiii
Madame B rudisha ile avatar ya kandege aisee yaani ilikua inanipa stimu na kuku feel kweli... hiyo siku naomba niwe date wakoLile suala kesho tukamikishe.
Si unajua tena....
Hee!!!!Madame B rudisha ile avatar ya kandege aisee yaani ilikua inanipa stimu na kuku feel kweli... hiyo siku naomba niwe date wako
Bado wakaa Kino? Shieka simuoni siku hizi.Hee!!!!
Makubwa haya jamani
MhhhBado wakaa Kino? Shieka simuoni siku hizi.
Mbona wasita sita mrembo mambo ya multiple ID haya.Mhhh
Nipo ndio
Id mbilimbili za nini?Mbona wasita sita mrembo mambo ya multiple ID haya.
bro sijajua kiundani hata nimedandia uzi juu kwa juu, nafikiri ungewasiliana na Madame B kwa ufafanuzi zaidiNipe summary mkuu..
Mchango sh ngapi? Natuma wapi ? Location na vitu vingine..
Lazima tuonane aiseemimi zaidi shem bby
wapi bby shem? hapo sehemu kuna mbusi?Lazima tuonane aisee
Transcendbro sijajua kiundani hata nimedandia uzi juu kwa juu, nafikiri ungewasiliana na Madame B kwa ufafanuzi zaidi