Mpekuzi17
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 445
- 395
Karibu saaanaaaaa pande hiziUshauri wako nimeupokea, nitakupa mrejesho
Karibu saaanaaaaa pande hiziUshauri wako nimeupokea, nitakupa mrejesho
Ahsante ila sasa hiyo avatar yako inaonesha wewe ni katili sana tehe tehe tehe teheKaribu saaanaaaaa pande hizi
Nasubiria tarehe dada Mzigua90Nimekua nikiwaza sana kwanini wana JF hatukutani hata mara moja kwa mwaka? Wengi mnaogopa kujulikana identity zenu lakini kwani ukija sehemu yenye watu 100 na ukajitambulisha wewe Gladys na huku unatumia Mzigua nani atakaekujua?
Tuacheni woga bwana tupangeni tukutane hata tugonge glass tubadilishane story mbili tatu atakaejitambulisha kwa Id yake itakua ni mapenzi yake.
Mkiunga mkono hoja wale waloandaa mwaka ulee tutawaomba waandae na mwaka huu tukutane maana ya mwaka ule inaniuma kweli kuikosa mpenda bata mimi.
Baada ya part watu wakaja JF kuwa kwanza mweusi pia hana churaNimemkumbuka lara1
AbeeMrembo
Yaani watu wa jf acha tuu!!Baada ya part watu wakaja JF kuwa kwanza mweusi pia hana chura
JmnYaani watu wa jf acha tuu!!
Mzima weyeAbee
Mm mzm cjui wwMzima weye
Iwe karibu na 20 kama itawezekana.Hiyo ndio mida ya likizo kwa sisi wa mikoani.Tarehe hizo watu watakua wanahesabiwa mkuu. Tarehe kabla ya 20 ndo itakua
Mzima vale hawajambo hukoooMzima weye
kuwa makini nae babyhahahahahaha Joseeeeee
Naam!!kuwa makini nae baby
kuwa makini nae baby