General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,316
- 23,178
Aya bhanaaWewe hujui kuwa tumetofautiana vichwa?![]()
![]()
Kilevi changu sio kilevi chako.....hatufanani vichwa get point!
Mi sina bahati kabisaa, nimezungukwa na pombe ila pombe hazinitakii.
Kila nikijilazimisha zinaniumizaa sanaa.


