JF imekuwa na msaada mkubwa sana kwa jamii, hususani katika kusema ukweli.
Naomba kujua; JE TUNAWEZA KUTOA MAONI YA PAMOJA JUU YA VIPAUMBELE VYA TAIFA, AMBAVYO VINAPASWA KUWEPO KWENYE KATIBA? JF ina msaada mkubwa sana katika mustakabali wa Taifa.
Naomba kujua; JE TUNAWEZA KUTOA MAONI YA PAMOJA JUU YA VIPAUMBELE VYA TAIFA, AMBAVYO VINAPASWA KUWEPO KWENYE KATIBA? JF ina msaada mkubwa sana katika mustakabali wa Taifa.