JF na nicknames.......

Lizzy= Betina (wa gazeti la Sani)!

Hilo jingine ulilompa ni refu sana.
Bishanga=Banana (wine?? Lol)
 
we upo karne gani Bishanga TF ameshaopoa kimwana mwingine siku mingiiiii....

Haya bana nachukulia umekataa ombi langu... asante
naota naota nadanganywa ooooohhhhh.....
(source:mbaraka mwinshehe mwaruka RIP).
 
Hahahahahahaha. . .
Wewe ndio umesema.Mimi huyoooooooo natimua!!
just called figa,anasema ektcwale aliyemgandisha zenj ni weye na wala sio AD.
 

afrodenzi=kisura wa jf!
Imepita hyo
 
dah hii imeniuma kweli, yaani mimi Pimbi??
Uwiiii....
Nakusemea kwa Kurwa haki ya nani.

Hahaha. . mbona hujashangaa Dr Love?
Au nayo nakuonea. . . haya bana ngoja nifute kwa wino.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…