JF na nicknames.......

PAW ananiaminia, issue ndogo ndogo kama hizi kaniruhusu nimalize na gun!
Bishanga leta kiuno hapa, mama koku malalamiko yake ya infii niya-solve once and for all!

mmmhhhh we nitwange ya kichwa tu aisee,maana huko kwingine nouuuuuuma!
 
Hakikisha hicho kitu kinakuwa kizuri cha kunifurahisha lol.... Afu mbona nakumiss sana kongosho?....
chonde chonde SL kuna mtu unamuweka roho juu kwa matamshi haya..........
(TF werayu? unaibiwa.......)
 
Bishanga, The Boss sio mzee wa nyumba ndogo as you say. Ni MZEE WA VITUMBUA.
Source: The Boss mwenyewe. Shahidi: FaizaFoxy.
Aliko yasemea: Thread ya utambulisho ya MZEE WA MBUNYE (Ashakum si matusi)
E Mola ,mwingi wa rehema,mjalie mja wako The Boss,abadilike,awe mtu mwema,awe mtu kareem,afuate maadili mema,aachane na mambo ya VITUMBUA, awe mtu safi kama Bishanga,Ameen!
 

Bishanga ..
Kwanini tu umenitungia mama maua duhhhh..
 
karibu lunch serena basi,utanikuta meza ya mwisho kushoto,ukitaka njoo na mashost wako pesa ipo.

Yani wewe. . . .
Badala ya kusema utakuja kunichukua unipeleke lunch unasema nikufuate sijui nikukute? Kweli u-gentleman KIPAJI!!
 
Wewe Tajiri la kihaya huu ubaguzi uliuanza lini?:A S-coffee:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…