JF member of 2012!

Mi naona fabinyo ni bora muwaweka katika kategoria mbalimbali katika majukwaa kuna watu wanakubalika katika jukwaa husika mfano jukwaa la wakubwa
 
Mi naona fabinyo ni bora muwaweka katika kategoria mbalimbali katika majukwaa kuna watu wanakubalika katika jukwaa husika mfano jukwaa la wakubwa

wazo hili limepokelewa na litafanyiwa kazi,tatizo kule watu wachache ndio tunaingiaga!!kwa hii kutoka jukwaa lolote inaruhusiwa mkuu
 

sawa,wazo safi hili
 
mbona wengi wameelewa?anzisha basi hiyo wewe kadogoo hamna shida!!
 

wiyelele
 

he shud be mzabzab
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…