JF ladies talk talk …...

Wapi Lizzy?

Dah ubize sometime mbaya kweli!!!


FL1 asante mama kwa kutupa sehemu ya kushea maurembo na umbea kidogo....japo naona kina kaka nao wamevamia utadhani sketi wanavaa!!!

Well mimi napenda sana jeans..legging na jeggings tight nikitupia na top au shati oversize kidogo na jimkanda kwa juu basi naridhika!!
Zamani nlikua namaind vimini ilasiku hizi magauni na sketi za marinda marinda ndo napenda...hapo na wedges nimemaliza!!
Viatu kwanzia heels...flats...raba siku najiskia kutoka kimtaani mtaani..
Nywele napenda sana nikiwa na afro sema wakati mwingine nashawishika kuweka dawa...na kusuka rasta napenda sana!!
Pochi sipendi kiviiiiiile japo sikosi begani.....ila kwa miwani huniwezi maana napenda kupitiliza!!
Make up...wanja, lipgloss na bronzing powder kidogo!!
Accesories kofia yani sana...mpaka bushori zile kama tuvyoziita huku Ungalii navaa...then hereni na bangili naona nimeanza kuvaa sana lately!

Ngoja nirudi bize alafu baadae nije kumalizia kusoma mashosti wengine mwapenda nini!!
 
Lizzy ndiye mwali kwenye k'party so haruhusiwi kuongea, yeye ni kusikiliza tu na kujib NDIYO.

Hahhahahha....SL embu niache na mimi nitoe maujuzi kidogo!!!Kwani mwali haruhusiwi kusemaanachojua???
 
Mmmh so far so good. Mpaka sasa Michelle na Belinda wako juu. Wameelezea kwa utondoti jinsi walivyo au jinsi wanavyopenda kujiweka. Safi sana.

Mzalendo Kaizer are you taking note?


Of course of course...very seriously, son
 
TF hapo kwenye duka lako umenikumbusha kitu muhimu sana. i never walk out of my door bila kua na sunglasses. I feel incomplete without them.


hata kama hakuna jua,, eeh Graca?
 
FL1 consider this in near future; andaa wadada wa humu tukutane sehemu kuongea kuhusu maisha na mambo mengine yanayojiri kwenye mji huu wa bongo. Unajua sometimes mambo mengi yanatokea hatuna pa kuyapeleka, au unaona vitu fulani kama vigeni kwako kumbe kuna watu wana suluhu navyo. Kuna maisha ya BF/waume tunayaona mageni kumbe kuna watu wameshapitia huko. Tukikaa pamoja tunaweza kupeana moja mbili tukapunguziana mizigo.

Mimi huwa ni mshirika wa kikundi cha akina mama kanisani na mtaani, nina experience na mambo mengi, kuombeana kwa ajili ya mambo fulani huwa niko mbele sana, tujaribu hiii tuone.

Be blessed.
 


Nitake radhi aise.
 
Ohoo asante sna FL napendelea zaidi kuvaa very simple and comfotable mengine nitarudi baadae

Thanks Mary Roza naona wewe uko vere simpo hakuna mapurukashani wakati wa kutoka Out:smile-big:


Rangi Gani unapenda Afrodenzi?
Red or


Da Pretty itabidi namie nijifunze kupenda vigauni thanx ....


cathreen asante sana naona wewe na Trouser ni mbali mbali :smile-big:
 
Firstlady1 asante sana kwa hii list itanisaidia kupata mchumba humu lol
 
A very nice topic.
Binafsi kutokana na nature ya kazi j3 hadi ijumaa ni full suti iwe sketi au surali ila napendelea sana suti za suruali.
Nikiwa home kikaptula/pensi na kitop au kigauni simpo cha kitenge,
wikiendi jinzi na tishet au kiblauzi,
Napenda vitenge na batiki lakini sio zenye mashamsham huwa nashona vigauni simpo au kaptula,
Napenda sana handbags za designers,
Shoes it depends na juu nimevaa nini,
nywele ni fupi natural,pia napendelae kusuka rasta,
manukato sio mpenzi wa vitu vyenye harufu kali so natumia spray na deodorant za johnsons and johnsons,
sio mpenzi wa make-ups.
kifupi niko simpo.
 
jamani wakati hii inarushwa sijui nilikuwa nazurura wapi

Mi napenda chupi bikini alywaz yani maboxer labda yale ya wakati uleeeeee wa angani tu,n apenda nguo fupi coz mguu upo na hata usingekuwepo utanenepa lini?officin suit or nguo fupi lkn yenye heshima,mtaani jeans,tshirt,tops,kaptula,jinsi skit fupi,simple sandoz,high hills,mapochi na ma urembo kwa sana,perfume must,saa nop,shanga nop,cheni miguuni,kiunoni,kitovuni leo yatoshaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,nywele natural coz usinga unanisaidia,make up kawaida si mapouuuuuder kama mwali wa kimakonde,mafuta ya nywele amla ni kama ya nazi but yameboreshwa,mafuta mwilini baby care (pure mafuta mgando no lotion at all)
Japo msosi hujasema but let me ongeza here,ni ugali,dagaa,tembele,ndim sana no pilipili,no pombe,no soda juice kwa wingi maji mmmmh its an issue.
 
Hivi au basi tu ngoja nikuache kwanza
 
Nyeupe, nyekundu, pink, bluu, damu ya mzee, rangi ya ugoro au rangi ya simenti?
 

Pearl my dear unaniapaga raha sana, hapo kwenye u leg umenimaliza mackini, nimecheka mpaka bac....hahahaha yaani wewe hapana aisee....
 
eeeeh unanitaka nn lkn ww?huku unatafuta nn kwani?nivae chupi nyekundu?kisa cha kupigwa na radi?kitu white zo na nyeusi pia but mara mbili kwa wiki,pink yap bluu nop am not a boy,wat else do u wanna knw?seems huna wadada wa kucheza nao kidali pooo eeeeeh?
Nyeupe, nyekundu, pink, bluu, damu ya mzee, rangi ya ugoro au rangi ya simenti?
 
ah ah ah si u knw love u sana swty!coz u dont care as I do about wat pipo say as long as hatuvunji sheria,nilisahau na tatoo pia ninazo but msiniulize sehem gani lol,miss u big time
Pearl my dear unaniapaga raha sana, hapo kwenye u leg umenimaliza mackini, nimecheka mpaka bac....hahahaha yaani wewe hapana aisee....
 
Ndio nakutaka wewe, Nakutafuta wewe ujue, niwatoe wapi wakati wewe umenikimbia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…