fierceman
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 553
- 758
yani hazipiti siku mbili basi utaona uzi ukiwacharua wanaume na hata hapachukui mda utaona uzi ungine ukiwacharua wanawake mara ooh hakuna mwanaume Tanzania mara ooh jamani tukaoe ulaya naamini kama kungekuwa na oral debates basi tusingekuwa tunafikia hitimisho na sometimes najiuliza hivi je members hawa wa jf wangekuwa ni wanandoa sijui ingekuwa je? mada ziendelee kama kawa mimi mpenzi mtazamaji napendaga tu vituko vya kabifu jinsia it is over...!