JF kama Mr. Bean

JF kama Mr. Bean

Sizinga

Platinum Member
Joined
Oct 30, 2007
Posts
9,542
Reaction score
7,378
"Mr. Bean alinunua card nyingi za X-mass alivyofika home akaziingiza kwenye kipenyo cha mlango halafu alivyoingia akaona zile card nyingi chini, akaanza kufurahia kuona amekumbukwa na watu wengi."

:banplease::banplease:Yani hapa JF watu wanafungua multiple IDs, wanaanzisha sredi,wanajijibu wenyewe, wanajigongea wenyewe "like', wanaleta complain kwenye IDs zao multiples, wanacomment utumbo wenyewe, wanakandia sredi zao...basi ilmradi tu walete 'jam' kwenye forums. Hii haijawahi kutokea kwenye twitter wala facebook, ni JF pekee.
:humble::bump:

Mods nao wanatoa ban bila onyo wala taarifa yoyote basi ilmradi tu adhabu!!

HII NDIYO JF BANA!!

 
Wengine wanalog off wakati bado wako online...yaani vituko haviishi

Hembu tuendeleze vituko vingine hapa....
 
Siku zingine like hazionekani...kama leo...yaani vituko tu
 
Wengine akina FF wanakuja na IDS ya Gajin kila kitu "Unanchekesha" yani ni kukenua kenua hovyoo kama jk wakati wana mi njino mibaya kama wandengereko
 
Aagh usibishe bana...!! Bujibuji nae atabisha wakati yeye huku hakosekani
 
wengine akina FF wan akuja na IDS ya Gajin kila kitu "Una nchekesha" yani ni kukenua kenua hovyoo k ama jk wakati wana mi njino mibaya kama wandengereko

Kumbe ni mtu mmoja?? Ila sidhani...ngoja tusubirie wenye details
 
Dah..na ukongwe wangu wote hapa JF nilikuwa silijui hili.
 
Wengine kazi yao ni...............................
 
wengine akina FF wanakuja na IDS ya Gajin kila kitu "Unanchekesha" yani ni kukenua kenua hovyoo kama jk wakati wana mi njino mibaya kama wandengereko

Unanini weye lakini?...unanshangaza!
 
wengine akina FF wanakuja na IDS ya Gajin kila kitu "Unanchekesha" yani ni kukenua kenua hovyoo kama jk wakati wana mi njino mibaya kama wandengereko

Tbag.
Wa gongolamboto!
 
Back
Top Bottom