Mkuu unajaribu kuwaza nini?
hii haitakiwi nyie jichanganyeni tu mtekwe maana watajoin hadi watu wa kaziNaanda hili tukio, kabla mwaka haujaisha lazima tulifanye.
LOCATION itakua dar.
Kiingilio kwa wanawake itakua free, cha msingi uwe njema, wanaume kiingilio Bure ila cha msingi usikose 500k ya KUINGIA nayo ndani, (TUTAKAGUA KAMA UNAYO KABLA YA KUINGIA KWA AJILI YA KUTUMIA NA WAREMBO)
KWA WAREMBO WA JF KIINGILIO NI MVUTO WAKO, USAFIRI,KULA KUNYWA, JUU YETU SISI WAANDAAJI.
View attachment 3647799
Joined mwaka Gani inanekana, tutaangalia ID kabla ya tangazo hilihii haitakiwi nyie jichanganyeni tu mtekwe maana watajoin hadi watu wa kazi
Wengne wamesema watatoa viingiliocomrade_kipepe hairisha hii party asilimia kubwa ya watu wa jf wote sura zao walichukua za baba zao sio wanaume sio wanawake kuna sura fulani unakata stimu profile hizi zina ficha mabomu
🤣🤣🤣 Unyakuo...Siwezi kamwe kuhudhuria party za unyakuo😊
Eeh wewe utakuwepo mkuu🤣🤣🤣🤣🤣 Unyakuo...
Hapana siyo huge fan wa haya mambo halafu kipindi hiki si rafiki sana.Eeh wewe utakuwepo mkuu🤣🤣
Naanda hili tukio, kabla mwaka haujaisha lazima tulifanye.
LOCATION itakua dar.
Kiingilio kwa wanawake itakua free, cha msingi uwe njema, wanaume kiingilio Bure ila cha msingi usikose 500k ya KUINGIA nayo ndani, (TUTAKAGUA KAMA UNAYO KABLA YA KUINGIA KWA AJILI YA KUTUMIA NA WAREMBO)
KWA WAREMBO WA JF KIINGILIO NI MVUTO WAKO, USAFIRI,KULA KUNYWA, JUU YETU SISI WAANDAAJI.
View attachment 3647799
Vitu vya muhimu visikosekaneNaanda hili tukio, kabla mwaka haujaisha lazima tulifanye.
LOCATION itakua dar.
Kiingilio kwa wanawake itakua free, cha msingi uwe njema, wanaume kiingilio Bure ila cha msingi usikose 500k ya KUINGIA nayo ndani, (TUTAKAGUA KAMA UNAYO KABLA YA KUINGIA KWA AJILI YA KUTUMIA NA WAREMBO)
KWA WAREMBO WA JF KIINGILIO NI MVUTO WAKO, USAFIRI,KULA KUNYWA, JUU YETU SISI WAANDAAJI.
View attachment 3647799
Hakika mengine yatupite tuHapana siyo huge fan wa haya mambo halafu kipindi hiki si rafiki sana.
Sasa mrembo kupare na sura zetu vinaingilianaje? Hebu acha tukalegeze viungo bwanawe😂comrade_kipepe hairisha hii party asilimia kubwa ya watu wa jf wote sura zao walichukua za baba zao sio wanaume sio wanawake kuna sura fulani unakata stimu profile hizi zina ficha mabomu
Ndiyo hivyo mkuu.Hakika mengine yatupite tu
Ungejua ungeniambia ifutwe tuSasa mrembo kupare na sura zetu vinaingilianaje? Hebu acha tukalegeze viungo bwanawe😂
Kwahiyo tutakutana na vibwengo!😂Ungejua ungeniambia ifutwe tu