Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 28,791
- 58,403
- Thread starter
-
- #81
Mungu kakupa.........Binafsi naendelea kujifunza kuhusu maisha, wakati mwingi huwa nafikiria kuwa umri unavyozidi kusonga mbele kuna idadi ya fedha huwa namini kuwa haipaswi kukusumbua hata kama itakusumbua si kwa muda mrefu. Msinielewe vibaya jamani.
Hamna kaka mimi mwenyewe nahangaika natamani kupata hata kompyuta lakini nashindwa, lakini bado natafuta ni mtazamo tu niliokuwa naoMungu kakupa.........
Wangapi wametupenda wameondoka hawajarudi.. we live once tukiondoka haturidi..."""
Itabidi nikamuungishe asijekata tamaaSasa hvi Mwachiluwi anatengeneza juisi za nyanya chungu..
Anauza hapa maeneo ya kinondoni biafra 🙌🙌🙌😂😂😂
Sasa kwa kauli yako hiyo ni sawa na kusema huu umri wangu ni aibu sana kuomba kiasi cha shilingi milioni brooHamna kaka mimi mwenyewe nahangaika natamani kupata hata kompyuta lakini nashindwa, lakini bado natafuta ni mtazamo tu niliokuwa nao
Nilivyo kuwa naanza kutafuta pesa nikionaga mtu anafamilia nilikuwa naogopa sana, unakuta ajilishe yeye, mkewe, watoto, kwahiyo nilijua huyu mtu lazima tu uchumi wake ni mkubwa.Sasa kwa kauli yako hiyo ni sawa na kusema huu umri wangu ni aibu sana kuomba kiasi cha shilingi milioni broo
Ujue wew bila kupigwa utanizoea sanaNipo mkuu mambo mengi kama pishi la Mwachiluwi
Uyo chotara uyoo ni wa kupigwa 😂😂Sasa hvi Mwachiluwi anatengeneza juisi za nyanya chungu..
Anauza hapa maeneo ya kinondoni biafra 🙌🙌🙌😂😂😂
😂😂😂😂 Hauna shida na hela weweMimi nakupa pesa yako baada ya miezi kadhaaa..
Ukisema ntakupa nini hapo sasa unataka watu tupigane humu ndani
Acha nikauze chaji tu😂😂😂😂 Hauna shida na hela wewe
Ulipata?Ni kweli kabisa.
Kuna watu wamekuja kusema kwamba *""kwanini wewe kilema""
Yaan jf familia yangu hii lakini daah
HapanaUlipata?
Looh,jf hii hii🙄Hapana
Ndugu yangu acha kabisa aiseeeLooh,jf hii hii🙄
Uwahi.....haaah ungekuja kuniita niwahi jamaniiii
niwahi kuchangia hojaUwahi.....
Changia pesa kama wenzakoniwahi kuchangia hoja
tapeli mkubwa weweChangia pesa kama wenzako
Tapeli wapi wenzako wanachangia wewe sijui unafeli wapitapeli mkubwa wewe
mi mwenyewe nipo natapeli wengine huku,tutaunganisha fwedha zetuTapeli wapi wenzako wanachangia wewe sijui unafeli wapi