JF Hip-hop frestyle battle

yeaah do it mkuu
Poa
Niweke kwenye Listi ila so ya Makondaa,
Mana nisije itwa sentro nikakosa ka kubongaa,
So mleta mada fanya chapchap,
Fanya ima tudumishe hiphop,
Nakuaminia
We wa levo zingine/

Wanateleza ka bamia
Kwako wanatrot usipime.

Poa nakuweka. Sasa hivi ngoja tuwasubirie hawa jamaa wawili.
 
Jeeeeyeeeeh sizonjemadawa hapa

Nimesoma mistari yenu michafu/
Inanuka ndafu/ wanahiphop mnaishia kujisifu/ wakati nchi inatoa harufu/ soon tutammisi lufufu/ kisa mkuu wa mkoa ana mkono mrefu/

Hahahaha eti mnaita pambano/ mnataka malumbano/ nitawachapa kwa maneno/ bila kutaja yenu nomino
 
[emoji16][emoji16][emoji106][emoji106].. ngoja nikuadd kwa list.
 
yoo yia yiaa

wabunge wa viti maalumu skuizi hawana umuhimu.
sura zao kavu kama wamelamba ndimuu.
maswala ya umuhimu wao wanaleta usanamuu.
hoja zao finyu kama vile vifuko vya aiskrimuu.

yeah 255
Umetixhaaaaa mkuuuuuu we ni hatareeeee
 
Here we go !!


Kijana unashinda MMU huku ukiwasapoti LGBT/
Mwisho wako mubaya kama TVT/

MMU kilamember mjuvi wa penzi/
wamejaza thread kama inzi/

MMU utapata furaha ya mahaba/
Member wacheshi maneno Yao si haba/

Mapenzi Sasa weka mbele pesa/
Mabinti wa MMU wanavunga hawataki Pesa/

MMU inashangaza inapendwa na wengi/
Huku ikichukiwa na wengi/

Tatizo la MMU wanaubaguzi kama karanga/
Ni heri nikamsome intelligence-kiranga/






Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Ni kwiiik kwiiik.. Ni ndan ya game kama mod.
Ni hatar zaidi ya nuclear nmekuja zamisha na cyo kuokoa..
Kua tayari kesha na kujikumbuka huu cyo mda Wa kutegea pambana jikomboe...
Ni kwiiik kwiiik!..
Na ni zaid ya thinker jipangeni mnaojiona mpo gotofani hii inang'oa msingi na cyo room.
Ni zaid ya vita dakika tisin ndio itimisho vuta pumzi pambana hii ndio game la kiume..
Kaza kaza ndio kwanza dakika ya kumi..
 
Nakeregwa hayupo hewani battle na Keyon. ..amesha anza mjibu then naye akujibu then uje umjibu tupige kura.
Ok mada ni nn? Mana natakiwa nichane kwa mada si kama yeye alivyoandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…