Mo-TOWN
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,721
- 515
Inawezeka kuna thread tayari tumegusia swala hili. Nimeanzisha hii thread kwa kuwa nakerwa sana na hii hali kupita maelezo.
Ni aibu watu wamekuwa wabinafsi wenye kufikiria matumbo na familia zao tu wakati wamepewa madaraka ya kitaifa.
Hainingii akilini kabisa serikali inayoongozwa na madokta (labda ni kweli madoka feki) kibao wanaweza kuwa wapuuzi kiasi hiki. Kwanza nisema ukweli kuwa hili tatizo la umeme linatuathiri zaidi wananchi wa kawaida kuliko viongozi ambao kwa bahati mbaya ndio wanapashwa kushughulikia tatizo hilo.
Nasema wanafanya mambo ya kipuuzi sana sababu ya kushindwa hata kuwa na uhakika wa umeme kwa watumiaji ambao ni chini ya asilimia 14 ya watz takribani milioni 40.
Katizo la umeme kwa zaidi ya saa 12 kwa siku (mfano Arusha) halafu viongozi wanazunguka huku na kule wakati wanashindwa kupata ufumbuzi.
Ni tatizo gani lilowakuta TANESCO ambalo limekuwa emergency kiivyo? Je ni maji? au vipuri au ni upuuzi wa mikataba ya Ki-Karl Peters.
Mnisaidie jamani hivi huyu Minister wa energy na mining ana-minister nini? Mimi ndio maana napata shida kweli nikifikiria haya mambo watawala wanayotufanyia watanzania kwa kisingizio cha kuwa Tanzania ni nchi ya amani. Watu wanatoa majibu ya jumla na kirahisi tu kwa sababu vyovyote watakavyosema no body anaweza kuuliza kwa sababu viongozi ktk nchi hii hawawajibiki kwa wananchi!! Shame. Utasikia maneno kutoka kwa viongozi kama haya hii ni hali ya kawaida hata nchi fulani inatokea!! Nonsense tupu. Watz tubadilike viongozi mtoe leadership kama haiwezekani msikimbilie na kulazimisha kupewa vyeo wakati hamna uwezo.
Naomba wana JF tujadiliane kwa maana ya kujenga. Hali ni mbaya kuliko maelezo.
Ni aibu watu wamekuwa wabinafsi wenye kufikiria matumbo na familia zao tu wakati wamepewa madaraka ya kitaifa.
Hainingii akilini kabisa serikali inayoongozwa na madokta (labda ni kweli madoka feki) kibao wanaweza kuwa wapuuzi kiasi hiki. Kwanza nisema ukweli kuwa hili tatizo la umeme linatuathiri zaidi wananchi wa kawaida kuliko viongozi ambao kwa bahati mbaya ndio wanapashwa kushughulikia tatizo hilo.
Nasema wanafanya mambo ya kipuuzi sana sababu ya kushindwa hata kuwa na uhakika wa umeme kwa watumiaji ambao ni chini ya asilimia 14 ya watz takribani milioni 40.
Katizo la umeme kwa zaidi ya saa 12 kwa siku (mfano Arusha) halafu viongozi wanazunguka huku na kule wakati wanashindwa kupata ufumbuzi.
Ni tatizo gani lilowakuta TANESCO ambalo limekuwa emergency kiivyo? Je ni maji? au vipuri au ni upuuzi wa mikataba ya Ki-Karl Peters.
Mnisaidie jamani hivi huyu Minister wa energy na mining ana-minister nini? Mimi ndio maana napata shida kweli nikifikiria haya mambo watawala wanayotufanyia watanzania kwa kisingizio cha kuwa Tanzania ni nchi ya amani. Watu wanatoa majibu ya jumla na kirahisi tu kwa sababu vyovyote watakavyosema no body anaweza kuuliza kwa sababu viongozi ktk nchi hii hawawajibiki kwa wananchi!! Shame. Utasikia maneno kutoka kwa viongozi kama haya hii ni hali ya kawaida hata nchi fulani inatokea!! Nonsense tupu. Watz tubadilike viongozi mtoe leadership kama haiwezekani msikimbilie na kulazimisha kupewa vyeo wakati hamna uwezo.
Naomba wana JF tujadiliane kwa maana ya kujenga. Hali ni mbaya kuliko maelezo.