zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 24,300
- 39,987
Figurative maana yake ni maana ya kiroho ya neno mfano Biblia inaposema moto inamaanisha NENO LA MUNGU na kwa wenye dhambi ina maana nk NENO LA HUKUMU ukisoma Yeremia 23:29 utaona hilo ila kuna watu wakisoma huu mstari wanadhani ni moto wa kimwiliAhsante kwa mengi ya kweli na mengine mengi tu ambayo nadhani unapaswa kujifunza zaidi hasa Neno LA Mungu kupitia Biblia maana bado mchanga sana.. Je! Hili Neno figurative umelitumia sana kusema Biblia zaidi ni figurative je! Kiswahili chake fasaha ni nini??
Wanakula ila wanaamini tunda ni la kimwili na sio fumbo..... Ndio maana ukiwaambia ni fumbo wanakuona mpinga kristoNoooooo,
Mimi sio hao wakaataaji
Kwan kuna watu hawali apple kisa jambo hilo??????
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmetoa moja hapo kuhusu MOTO.... MTI .... HEKALU.. Na nmekupa homework ya Ezekiel 31Hahahaaaa ninmafumbo yapi hayo mkuuu, mbona toka mwanzo hujanipa maana ya fumbo hata moja???????
Mafumbo ambayo yametolewa maana humo humo kwenye bible mm siyakatai.
Lakin unaponiambia fumbo umelifumbulia nje ya bible
HAPO NDIO SIKUELEW KABISA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yesu alisema hivi
Mathayo 13
11 Akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuijua siri ya ufalme wa Mungu, bali kwa wale walio nje yote hufanywa kwa mifano,
12 ili wakitazama watazame, wasione;Na wakisikia wasikie, wasielewe;Wasije wakaongoka, na kusamehewa.
13 Akawaambia, Hamjui mfano huu? Basi mifano yote mtaitambuaje?
Kwahiyo usipojua hayo mafumbo/parables basi Yesu anasema utakuwa unatazama maandiko ila huoni kilichoongelewa!! Ndio hapo unaweza ona tunda halina maana kujua ilihali kupitia Biblia tunaamini ndio limesababisha kadhia yote hii!! Huoni usipojua maana yake utarudia makosa.
Wanakula ila wanaamini tunda ni la kimwili na sio fumbo..... Ndio maana ukiwaambia ni fumbo wanakuona mpinga kristo
Naomba kwanza unipe ni kifungu gani kilichosema hayo,Nmetoa moja hapo kuhusu MOTO.... MTI .... HEKALU.. Na nmekupa homework ya Ezekiel 31
Kama hapa tunakubaliana kuhusu mafumbo then well and good
2. Kuhusu kutoa baadhi ya mafumbo nje ya Bible unakataa ambayo uko sahihi kabisa lakini sasa nikuulize Biblia inasema Yesu alilisha WANAUME 5000 je ina maana kwenye huo mkutano kulikuwa hakuna wanawake na watoto???
Naomba unipe jibu kutokea ndani ya Biblia ukikosa basi naomba utamke rasmi kuniunga mkono kwa KUNIELEWA KABISAAAAAAAAAAAAA
Kula mwili na damu yake alimaanisha mafundisho yake yaani NENO LA MUNGU twenda pamojaZitto acha siasa, kama unakataa nilichokisema tupe basi majibu au maana ya maneno hayo.
Acha kuzunguka zunguka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejifunza kitu kwa . zitto junior. Ni mchambuzi mzuri ila ana athiriwa na tatizo la mapokeo amejifunza ana uelewa mzuri lakini anafungwa na mapokeo ni ngumu kubadirika.Zitto hebu tuwekane sawa kwanza mala moja,
Naona unazidi kuniambia yale ambayo mm sijayapinga.
Na kuniambia yasio nihusu
Hayo ya ndama mwekundu mm siyatambui.
Naomba unipe majibu kwa yale ninayo kuuliza.
Naomba unipe maana ya kula mwili na damu yake yesu alimaanisha nn?????
Naona wew totally unayo majibu nje ya bible
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ni kweli hapa unachokisema Kristo alimaanisha kuishika kweli yake kiimani.Kula mwili na damu yake alimaanisha mafundisho yake yaani NENO LA MUNGU twenda pamoja
Yohana 6
35 Yesu akawaambia, Mimi ndimi chakula cha uzima; yeye ajaye kwangu hataona njaa kabisa, naye aniaminiye hataona kiu kamwe.
Hapa Yesu anasema yeye ni CHAKULA hivyo atakayemla hatosikia njaa wala kiu..... Je njaa na kiu ya kimwili??
Amos 8:11
11 Angalia, siku zinakuja, asema Bwana MUNGU, ambazo nitaleta njaa katika nchi; si njaa ya kukosa chakula, wala kiu ya kukosa maji, bali ya kukosa kuyasikia maneno ya BWANA.
Kumbe alikuwa anatimiza huu unabii hapa.... Sasa hapa kama hujui figurative language utakalia kusema meza ya bwana ni divai na mkate unashangaa Yesu anarudi anakuacha maana wakati ww unafakamia mikate kumbe Yesu alimaanisha ufakamie MAANDIKO YAKE
Wakristo tuamke biblia is FIGURATIVE LANGUAGE mwenye masikio na asikie
Kula mwili na damu yake alimaanisha mafundisho yake yaani NENO LA MUNGU twenda pamoja
Yohana 6
35 Yesu akawaambia, Mimi ndimi chakula cha uzima; yeye ajaye kwangu hataona njaa kabisa, naye aniaminiye hataona kiu kamwe.
Hapa Yesu anasema yeye ni CHAKULA hivyo atakayemla hatosikia njaa wala kiu..... Je njaa na kiu ya kimwili??
Amos 8:11
11 Angalia, siku zinakuja, asema Bwana MUNGU, ambazo nitaleta njaa katika nchi; si njaa ya kukosa chakula, wala kiu ya kukosa maji, bali ya kukosa kuyasikia maneno ya BWANA.
Kumbe alikuwa anatimiza huu unabii hapa.... Sasa hapa kama hujui figurative language utakalia kusema meza ya bwana ni divai na mkate unashangaa Yesu anarudi anakuacha maana wakati ww unafakamia mikate kumbe Yesu alimaanisha ufakamie MAANDIKO YAKE
Wakristo tuamke biblia is FIGURATIVE LANGUAGE mwenye masikio na asikie
Shida yako hunielewi kabisa nimeshaweka msingi kwamba maneno yote ya Biblia yana maana ndani ya Biblia hili umekubali maana na ww naamini umepotokaZito acha siasa,
Hayo maandiko unayo yasema hakuna anae yapinga,
Ila unavotuambia kuna mengine unatafuta ufafanuzi nje ya bible,
HUKO KAPOTEE PEKE YAKO, SISI WENGINE TUMEGOMA.
Yani unakazana tu kuniambia kuwa bible ina mafumbo ndio SIKATAI, lakin tafsir haipo nje, ukisema ipo nje ya bible NAKATAAAAA.
maana hata mm nikija kudanganya watu na kuwaambia hile amri ya kwamba USIZINI, Maana yake ni usilale na binti ambae kaolewa, lakin ukilala na mabinti wowote ambao hawajaolewa hata kama kumi, hata kama ndugu yako basi watu wataamini ufafanuzi wangu wa nje ya bible kuwa niwa kweli?????
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida yako hunielewi kabisa nimeshaweka msingi kwamba maneno yote ya Biblia yana maana ndani ya Biblia hili umekubali maana na ww naamini umepotoka
Nilichosema kuhusu nje ya Biblia sio mpaka yawe mafumbo bali ili kuelewa kitu kwa muktadha wake kwa undani zaidi hasa kama biblia hakijaieleza vizuri na ndio maana hata Yuda na timotheo wamemcite Book of enoch!! Sasa ina maana ww unajua maandiko kuliko Yuda na paulo??
Kingine nje ya Bible sio upotoshaji bali kuna vitabu vimetambuliwa na Bible na kuna makanisa yanavitumia mfano book of enoch na Book of jasher so ikiwa kanisani kwako ni NJE YA BIBLIA basi tambua makanisa mengine na NDANI YA BIBLIA.
Narudia tena Hakuna kitabu ambacho nimewahi jengea humu hoja JF ambacho hakuna kanisa ambalo linakitumia.... Vitabu vyote navyotumiaga ambavyo kwako unasema Ni nje ya biblia huwa ni ndani ya biblia kwa makanisa mengine so usilazimishe Canon ya Biblia yako ndio iwe sahihi hauwi objective.
Namalizia kwa kumnukuu martin luther aliyesema Apocrypha ingawa sio part ya bible ila ni VIZURI KWA MAFUNDISHO
So ina maana martin luther hajui Biblia!!
Mkuu alichouliza ni dhehebu gani liko sahihi mimi ndio nmejibu yote yako halali maana dhehebu halimpeleki mtu mbinguni ila niliweka msisitizo na nafkiri wengi mmeupuuza.Mkuu ni kweli hapa unachokisema Kristo alimaanisha kuishika kweli yake kiimani.
Lakini Kuna koment yako ktk huu Uzi ilinihuzunisha sikuamini Kama ni wewe kuhusu madhehebu na nilikuuliza hukujibu!!!
Je kanisa la nabii Tito wa dodoma waumini wake wanajihesabu haki uonavyo kulinganisha na maandiko ya Biblia?
Naomba unijibu je tukiishi katika madhebu yenye mafundisho yasiyoendana na Biblia huku tukijua tumeipoteza kweli ya Kristo inatufaa kujiona tu wenye haki wakati kweli tunaijua tumeiacha??
Sent using Jamii Forums mobile app
Chief hapa kuna kitu unatakiwa kujiifunza kabla ya kumwita . zitto junior. Muongo waweza chukua Bible yako ukajipa mda kusoma mwombe roho mtakatifu akuongoze na fahamu kuwa kushiriki Meza ya Bwana hakufai kitu Kama haujamkaribisha Kristo maishani mwakoHahaaaaaaa
Wew hayo makanisa yanayo tumia hvo vitabu ni wao mimi siwatambui hata kidogo.
Lakini swala la wew kunimbia kuwa Yesu aliposema tule mwili wake na kuinywa damu yake kamaanisha kuwa ni NENO LA MUNGU.
Nakataaaaaaaaa
Kama vip tengeneza uzi ukitoa maana ya andiko hilo utajiome kuwa ni ww peke yako ndio unatambua uwongo huo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mjadala ulianza vizuri tu kulikuwa hakuna haja ya matusi try to control your temper ndio maana mmeiita HARDTALK sasa mkianza kukashifiana kisa kutofautiana misimamo sidhani kama mjadala unakua na maana tenaMkate na divai...... ---Means kula na kunywa Neno la Mungu.
Hahahaaaaa mkuu kadanganye machoko,
Ukipinga kushirik meza ya bwana wew utakua umewapinga waluther na wacatholic piaa
Sasa hiyo dini yako ya uwongo sijui inamaana gani hasa.
But akili yako imekituma huko basi sawa yaishe.
Mimi sina la ziada nimenyoosha mikono.
Na sijajua elimu hyo unaisoma kwa madhuni gani??? Elimu ya uwongo mwanzo mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chief hapa kuna kitu unatakiwa kujiifunza kabla ya kumwita . zitto junior. Muongo waweza chukua Bible yako ukajipa mda kusoma mwombe roho mtakatifu akuongoze na fahamu kuwa kushiriki Meza ya Bwana hakufai kitu Kama haujamkaribisha Kristo maishani mwako
Zitto Junior kwa hili yupo sahihi
Sent using Jamii Forums mobile app
Asee,sasa mbn km unapanic ,tunawafuatilia sie wengine tujifunze kitu hapaMkate na divai...... ---Means kula na kunywa Neno la Mungu.
Hahahaaaaa mkuu kadanganye machoko,
Ukipinga kushirik meza ya bwana wew utakua umewapinga waluther na wacatholic piaa
Sasa hiyo dini yako ya uwongo sijui inamaana gani hasa.
But akili yako imekituma huko basi sawa yaishe.
Mimi sina la ziada nimenyoosha mikono.
Na sijajua elimu hyo unaisoma kwa madhuni gani??? Elimu ya uwongo mwanzo mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu maana itabaki pale pale, kwamba alitaka tufanye hivo kwa kula na kunywa mkate na divai na sio kwaMkuu mjadala ulianza vizuri tu kulikuwa hakuna haja ya matusi try to control your temper ndio maana mmeiita HARDTALK sasa mkianza kukashifiana kisa kutofautiana misimamo sidhani kama mjadala unakua na maana tena
Tukirudi kwenye hoja..... Mimi nimekuuliza hata kabla Yesu hajawapa agizo wanafunzi wake mezani aliwahi kuhubiri mlimani na mstari nimekuwekea akasema
Yohana 6:54
Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu anao uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho.
Sasa kama unakataa hii maana yangu naomba unisaidie je Yesu alimaanisha kuwaambia watu wale NYAMA YAKE.
Nakusubiri
Asee,sasa mbn km unapanic ,tunawafuatilia sie wengine tujifunze kitu hapa
Sent using Jamii Forums mobile app