Trust me, kuna watu vyuma hawajawai kutokea tangu Uhuru. hawaji kulewa wala Ku get together wao ni kutaka kujua who is who. Yupo radhi kukiwa kumetulia au mziki umekata anaweza kushauti kwa nguvu ID ya mtu mfano akaita Mziguuuuuaaaaa halafu anaangalia reaction...(joking) lakini vyuma lazima viwepo...