Umealika akina nani sasa??
Mbona muandaji wa party mwenyewe mshamba hivyoo??
Aisee,
Huna sifa ya kuandaa party, huna hata kidogo.
Una hasira, unajiona, unajikwezaa.
Kwa hapo tu naona hiyo party itakua ya kishamba kama wewe.
Ukishaweka mada humu JF sio yako, ni ya wana jukwaa.
Umealika memba wote waliojisajili wachangiee.
Mshamba sana wewe dada.