Lucas
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,457
- 1,108
peopleeeeeeeeees'.....powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
power mabula yuko wapi siku hizi?
peopleeeeeeeeees'.....powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
Dada yangu kongosho huwa ananipa raha sana kila nisomapo post zake.
Kufa kwa CCM litakuwa jambo jema kwa kila mtanzania mwenye mapenzi na nchi hii.CCM inakaribia kufa
Sana sana wangetoa taarifa vijana wangeweza kuwadhuru manake waliwapania mno
ccm ni chama kilichozeekasana sana kwa sasa hivi uzuri wake ni kutovumilia sirikali ya ccm
Hizi habari za wewe kujiweka kwa smile zimenikosesha raha ghafla.power mabula yuko wapi siku hizi?
Mno, mno mno EL alipania ushindi wa mkwewe arumeru.
Arumeru wametupa raha watanzania manake wamekula CCM wakalala CDM kama walivyoahidi wakati wa kampeni.Mno, mno mno EL alipania ushindi wa mkwewe arumeru.
hizi habari za kuwaulizia wakina Mabula mngezifanya kwa kupigiana simu.power mabula yuko wapi siku hizi?
Simu zimesaidia sana kuifanya dunia kuwa kama kijiji.hizi habari za kuwaulizia wakina Mabula mngezifanya kwa kupigiana simu.
Kufa kwa CCM litakuwa jambo jema kwa kila mtanzania mwenye mapenzi na nchi hii.
LOWASSA amekufa kisiasa hawezi kugombea kitu chochotearumeru sio kipimo sahihi cha nguvu ya edward lowasa
Game linaenda vizuri ila nashangaa muazishaji simuoni, au anataka kupotea na zawadi?nitakunyang'anya hako la laptop kako ili uache kuchakachua game
Milele? Watasubiri sana, huo ni mwanzo tu...Hii ni fundisho, kwani walidhania watadumu milele.
Game linaenda vizuri ila nashangaa muazishaji simuoni, au anataka kupotea na zawadi?
Chochote kinaweza kutokea kabla ya 2015 manake watanzania wamechoka kuona keki ya Taifa ikiliwa na mafisadi.LOWASSA amekufa kisiasa hawezi kugombea kitu chochote
Mwaaaaaa darling.Zawadi nzuri ya busu kutoka kwa nitty mwaaaa
kamanda mbona sijakuelewa? Unanitambisha queen
wako? Hujui kua ni hatari kwa afya ya usalama wako? Nitakunyang'anya!
Zawadi nzuri ya busu kutoka kwa nitty mwaaaa
zawadi hiyo lazma tugawane wote.Game linaenda vizuri ila nashangaa muazishaji simuoni, au anataka kupotea na zawadi?