Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
wanachakachua wakijipa matumaini kuwa watakimbia na zawadi kama wanavyokimbiaga na maboks ya kura
Kura zote ziwe za wazi watu tuzione.
wanachakachua wakijipa matumaini kuwa watakimbia na zawadi kama wanavyokimbiaga na maboks ya kura
Kamanda haya maneno mbona unatumia sana nguvu?
Wewe unaeshikilia kuvaa pamba aina moja ndio rahis kukutoa mshipa!
Eti mkeo. Kwani mke nini? Huyo huyo ndio poa namega then akiridi
unazama chumvini kula masalia ya shabhan.
Kura za arumeru vijana walijitolea kuzilinda.wanachakachua wakijipa matumaini kuwa watakimbia na zawadi kama wanavyokimbiaga na maboks ya kura
Kura zote ziwe za wazi watu tuzione.
wanachakachua wakijipa matumaini kuwa watakimbia na zawadi kama wanavyokimbiaga na maboks ya kura
Kura za arumeru vijana walijitolea kuzilinda.
Maji ya uzima ndio hutuweka karibu
Tuzione za kazi gani Remmy, mgombea wetu kaibuka kidedea hilo pekee linatosha.Kura zote ziwe za wazi watu tuzione.
Sote tuna wajibu wa kufuata kanuni na sheria za jf ili kuepuka ban zisizo za lazima.KUZILINDA rasilimali za nchi yetu ni jukumu letu sote!...
karibu tutaikomboa TanzaniaMaji ya uzima ndio hutuweka karibu
Tuzione za kazi gani Remmy, mgombea wetu kaibuka kidedea hilo pekee linatosha.
Sote tuna wajibu wa kufuata kanuni na sheria za jf ili kuepuka ban zisizo za lazima.
Tu marafiki sana swahiba, hakuna wa kuuvunja urafiki wetu. Nashukuru kwa salam swahiba, nimezipokea huku natabasamu!Mmh! Huo mchezo siuwezi. Swahiba nimekuja kukusalimia. Nimekumiss wewe tu.
karibu tutaikomboa Tanzania
karibu tutaikomboa Tanzania
LAZIMA ule ban kabla ya pasaka!
lazima tupambane mpaka tuwaang'oe na kuwashtaki mafisadi.Sote tuna wajibu wa kufuata kanuni na sheria za jf ili kuepuka ban zisizo za lazima.
shughuli ni watu na watu ndio sisi!
linatosha hili jukwaa?naona kama tumejaa kinomaa!
Kawimbo kazuri sana ila watoto hawafundishwi tena huko mashuleni.Tanzania Tanzaniaaaa....nakupenda kwa Moyo woteee...nchi yangu desh desh desh...nakapenda haka kawimbo!