naona unajichekesha sasa, usiniombe ukoo.
Wakati unajisajili JF maelekezo yote yalikuwa yameandikwa kizungu, sijui uliweza aje kujisajili halafu leo ushindwe kumuelewa Consi.
BTW: Mada hapa ni topic yangu ninayotaka kuipeleka fanpage ya FB, naomba maoni yako twaffazal...