Nalala kwenye computer leo kila baada ya dk 15 nastuka nimeweka alarm after 15min inARING hakula kulala mpaka nijue inakuwaje leo...Mbuzi kachinjiwa baharini au jangwani leo kweupeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.....
Key ya blue na red ipo bana hata ukipeleka cursor yako hapo inakuonyesha ila mimi sijajua hizi namba nini? Ni idadi ya kura au idadi ya kata? Au majimbo?
Key ya blue na red ipo bana hata ukipeleka cursor yako hapo inakuonyesha ila mimi sijajua hizi namba nini? Ni idadi ya kura au idadi ya kata? Au majimbo?
Go back and investigate careful, Kila kitu kinajionesha. Error niliyoiona ni kwamba kura zinzooneshwa katika Colomun hazioneshi kuwa ni za Presidential au Ubunge? hapo haijielezi vizuri. But all in all Good Job has be done.