Kaa la Moto JF-Expert Member Joined Apr 24, 2008 Posts 7,907 Reaction score 1,081 Nov 5, 2008 #21 Invisible Mungu akubariki kwa service hii maana sisi tuliianza zamani na inakwenda vizuri. Ngoja nikasome mails zangu. Je Tshirt zinapatikanaje?
Invisible Mungu akubariki kwa service hii maana sisi tuliianza zamani na inakwenda vizuri. Ngoja nikasome mails zangu. Je Tshirt zinapatikanaje?
Utamaduni JF-Expert Member Joined Oct 23, 2007 Posts 1,279 Reaction score 600 Nov 5, 2008 #22 Mchukia Fisadi said: Invisible Mungu akubariki kwa service hii maana sisi tuliianza zamani na inakwenda vizuri. Ngoja nikasome mails zangu. Je Tshirt zinapatikanaje? Click to expand... Mmmmmh lol. Nilitaka nishangae, kumbe weye wafaidi vinono kimya kimya? Hongera.
Mchukia Fisadi said: Invisible Mungu akubariki kwa service hii maana sisi tuliianza zamani na inakwenda vizuri. Ngoja nikasome mails zangu. Je Tshirt zinapatikanaje? Click to expand... Mmmmmh lol. Nilitaka nishangae, kumbe weye wafaidi vinono kimya kimya? Hongera.
Kaa la Moto JF-Expert Member Joined Apr 24, 2008 Posts 7,907 Reaction score 1,081 Nov 5, 2008 #23 Utamaduni said: Mmmmmh lol. Nilitaka nishangae, kumbe weye wafaidi vinono kimya kimya? Hongera. Click to expand... Click to expand... π Si kimya maana unajua nilikuwa naihitaji sana huduma hii na ikabidi niombe kwa PM na akanipa.
Utamaduni said: Mmmmmh lol. Nilitaka nishangae, kumbe weye wafaidi vinono kimya kimya? Hongera. Click to expand... Click to expand... π Si kimya maana unajua nilikuwa naihitaji sana huduma hii na ikabidi niombe kwa PM na akanipa.
Mwazange JF-Expert Member Joined Nov 16, 2007 Posts 1,056 Reaction score 83 Nov 6, 2008 #24 Mchukia Fisadi said: Ngoja nikasome mails zangu. Je Tshirt zinapatikanaje? Click to expand... Mmhh mkuu muulize Invisible ishu imeishia wapi???
Mchukia Fisadi said: Ngoja nikasome mails zangu. Je Tshirt zinapatikanaje? Click to expand... Mmhh mkuu muulize Invisible ishu imeishia wapi???
P PUNJE JF-Expert Member Joined Jul 30, 2008 Posts 356 Reaction score 180 Nov 6, 2008 #25 ..................na mimi tafadhali, nisaidie e-mail address hiyo. asante
H Hofstede JF-Expert Member Joined Jul 15, 2007 Posts 3,577 Reaction score 1,118 Nov 6, 2008 #26 Idimi said: Mkuu nimepita huko! Lakini mbona ule ujumbe ulioko ndio huo tuliouzoea kila siku katika mail zetu? Ama kuna jipya hapo? Idimi@jamboforums.com Click to expand... Jipya lipo idimi, ni kwamba na sisi tusio na email tujiunge. mkuu invisible natuma ombi langu rasmi la "hofstede@jamboforums.com"
Idimi said: Mkuu nimepita huko! Lakini mbona ule ujumbe ulioko ndio huo tuliouzoea kila siku katika mail zetu? Ama kuna jipya hapo? Idimi@jamboforums.com Click to expand... Jipya lipo idimi, ni kwamba na sisi tusio na email tujiunge. mkuu invisible natuma ombi langu rasmi la "hofstede@jamboforums.com"
Masanilo Platinum Member Joined Oct 2, 2007 Posts 22,283 Reaction score 4,556 Jul 1, 2011 #27 Jamani MODS niwezesheni nami niwe na account ya JF Fellow Tablet@jamiiforums.com
Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,010 Reaction score 60,483 Jul 1, 2011 #28 Na mimi naomba unifungulie mkuu...japo itakua imekaa kimagamba zaidi!
Saint Ivuga JF-Expert Member Joined Aug 21, 2008 Posts 55,030 Reaction score 59,682 Jul 1, 2011 #29 MODS niwezeshe nami niwe na account ya JF