Haji Manara alisema walioko Utopolo wenye akili ni mzee Kikwete na babaake tu wengine wote ni matahiraHongereni Makolo. Naona Uzi ni mkali.
Ila bado hamjafikiaa level za. ubunifu za Mabingwa wa mara zote wa LigiKUU Tanzania Bara.View attachment 2316767
We jamaa unakurupuka sanaHongereni Makolo. Naona Uzi ni mkali.
Ila bado hamjafikiaa level za. ubunifu za Mabingwa wa mara zote wa LigiKUU Tanzania Bara.View attachment 2316767
Kashauri makanisa na misikiti nao wadhamini timu ili wasiweke kampuni za kamariNi kubeti tu sasa. Kila jezi ni kampuni ya kamari. Watuletee jez exclusive zisizo na matangazo ya kamari