Jana katika taarifa ya habari ya TBC1 saa 2usiku nilistaajabu kidogo kusikia Mkuu wa kikosi cha wanamaji Meja jenerali Omari akilijuza Taifa sababu za kupanda kwa bei ni uharamia katika bahari Hindi. Sijui mi ndo sjaelewa au?maana nilidhani taarifa hizi zingetolewa na BOT au waziri wa Fedha kama vyombo vyenye dhamana na huyo Afande atoe sababu za kushindwa kukabili maafa ktk mafuriko ya Dar kwa wakati.
Jana katika taarifa ya habari ya TBC1 saa 2usiku nilistaajabu kidogo kusikia Mkuu wa kikosi cha wanamaji Meja jenerali Omari akilijuza Taifa sababu za kupanda kwa bei ni uharamia katika bahari Hindi. Sijui mi ndo sjaelewa au?maana nilidhani taarifa hizi zingetolewa na BOT au waziri wa Fedha kama vyombo vyenye dhamana na huyo Afande atoe sababu za kushindwa kukabili maafa ktk mafuriko ya Dar kwa wakati.
Huu uchumi wa jeshi na maharamia mimi sijamuelewa. Kwa hiyo hata Umeme wa Tanzania ambao ndo chanzo kikubwa cha bidhaa kuwa ghali limesababishwa na maharamia?. Hili jeshi nalo bado la chama kimoja tu. Hiyo semina elekezi aliyopewa inawalakini.
Huu uchumi wa jeshi na maharamia mimi sijamuelewa. Kwa hiyo hata Umeme wa Tanzania ambao ndo chanzo kikubwa cha bidhaa kuwa ghali limesababishwa na maharamia?. Hili jeshi nalo bado la chama kimoja tu. Hiyo semina elekezi aliyopewa inawalakini.
Sidhani kukesha wakilinda baharini kama alivyojieleza ni dawa ya kudumu.Dawa ni kuvamia somalia na kuikalia milele kama koloni la Tanzania kama tumeshindwa tuwaombe wakenya wakishawatimua waweke serikali ya wajaluo na wakikuyu kule na wapandishe bendera ya kenya kule.Hawawezi kuusumbua uchumi wetu kiasi hicho tukaendelea kukaa kimya .Hapa ndipo huwa nawpenda marekani uchumi wao ungeathiriwa kama huu wetu na wasomali marekani saa hizi majenerali wao wangeshatua somalia kuwanyuka tofauti na sisi ambao badala ya kukimbilia somalia kumtandika msomali wanakimbilia TBC kuhutubia.
naona kila alieshika kitengo sasa ni msemaji mkuu waserikali..............what a drama!!!!!!!!!!!!!!!!!!!