Ina maana Omary naye angemuachia mtoto wake aongoze nchi duhSasa hapa JIWE atajifunzaje..???...na Huyo Omary Bongo alirithi baada ya baba yake Ally Bongo kufariki miaka michache iliyopita
Bahati nzuri hapa kwetu hali ya namna hii huwa inataka kujitokeza halafu inashindikana.Hii ndy shida ya kuongoza nchi na kuachiana familia kutawala maana mnawafanya watu kama mafala vile
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo jiwe unahisi atamuachia Janet ile nyumba ya pale magogoni...🙂🙂🙂🙂Ina maana Omary naye angemuachia mtoto wake aongoze nchi duh
Inachosha kwa kweli......
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
"Amri ya kutotoka nje imetangazwa" inapotangazwa tahadhari kama hii na huna stock ya chakula wala nishati unafanyaje ili maisha yaende?Jeshi nchini Gabon limetangaza kwamba limetekeleza mapinduzi ya serikali katika taifa hilo la Afrika Magharibi.
Wanajeshi wenye vifaru na magari ya kivita wanashika doria katika barabara za mji mkuu Libreville.
Amri ya kutotoka nje imetangazwa.
Tangazo kutoka kwa kundi la vijana wa umri wa makamo linatangazwa na kurudiwa katika kituo cha redio cha serikali nchini humo, ambapo wanasema kumekuwepo na wasiwasi kuhusu uwezo wa Rais Ali Bongo kuongoza nchi hiyo.
Wanakosoa pia viongozi wakuu wa jeshi nchini humo.
Bw Bongo amekuwa nje ya nchi hiyo kwa zaidi ya miezi miwili, akipokea matibabu nchini Morocco kutokana na maradhi ambayo hayajafichuliwa baada yake kuugua akiwa ziarani Saudi Arabia.
Familia ya Bongo imetawala taifa hilo kwa miaka 51 iliyopita, na imetuhumiwa kwa kujilimbikizia mali na utajiri mkubwa kutokana na rasilimali za taifa hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
"Amri ya kutotoka nje imetangazwa" inapotangazwa tahadhari kama hii na huna stock ya chakula wala nisha unafanyaje ili maisha yaende?
Nimewapenda tu hawa BBC kwa kusisitiza Kiswahili maana ingekuwa bongo wangeendika BRIKING NYUZI Badala ya HABARI ZA HIVI PUNDE
Wao huwa wanakumbatia wale wenye mavyeo makubwa wakidhani ndio watakuwa salama.Kama kawaida ni Luteni ndio kachukua ndoo
Wao huwa wanakumbatia wale wenye mavyeo makubwa wakidhani ndio watakuwa salama.