taifa linaendelea kuibiwa na mafisadi wageni na wazawa, umaskini unaendelea kushamiri, amani inaelekea kutoweka mfano mara, viongozi macho yote kwenye uchaguzi ujao, je umaskini wa watanzania waliochoka unanafasi gani ?
nani mkombozi wa maskini?
jeshi linanafasi gani katika kumkomboa mnyonge na kulinda rasilimali zetu na kuzuia ufisadi?
nani mkombozi wa maskini?
jeshi linanafasi gani katika kumkomboa mnyonge na kulinda rasilimali zetu na kuzuia ufisadi?