Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,468
- 24,540
Kipaumbele kikubwa kwa Sasa kwa kila taasisi na vyombo vya usalama ni kulinda Watawala na kula tu.View attachment 2788069
Kati ya taasisi nyeti ninazoziheshimu na kuzienzi ni jeshi letu la JWTZ.
Limeonyesha ukomavu wake kwa miaka mingi sana hasa wakati wa vita ya ukombozi.
Ilipoingia 1978, November/December hadi 1979,jeshi lilipitia "baptism of fire" wakati wa Vita ya Kagera.
Kimsingi baada ya vita ile ikadhihirika kuwa Defence Policy iko safi na inafanya kazi katika mazingira ya wakatu ule.
Najua leo jesho liko complex kuliko wakati huo na lina vyo vyake ambavyo ni Think Tanks, kama Natona Defence College pale Kunduchi.
Sasa leo kuna vita hivi vya Ukraine na vile vile Israel na Hamas.
Mbinu zilizo jitokeza na kuwa very effective katika kushambulia adui , ni matumzi ya Drones na Missiles.
Huko Ukraine drones zimekuwa a weapon of choice katika ku target sehemu za adui kwa pande zote.
Hamas juzi kwa vifaa ambavyo waweza kufikiri ni vya mchezo mchezzotu, katumia drones ambazo zimechakaza vibaya miuondombinu ya kijeshi ya Israel iliyokuwa mstari wa mbele.
Kwamab wameuawa wanajeshi zaidi ya 300 wa Israel, katika mashambulio ,hilo na jambo kubwa sana.
Maoni yangu ni Jeshi letu vile vile litazame upya Defence Policy yake ili matumizi ya vifaa hivi vimeze kujumuishwa katika ulinzi wa nchi yetu.
Nawaza tu!
Mkuu mimi natengeneza sana hizi drone,sijui kwanini jwtz haitoi sapoti nifanye kazi nao.View attachment 2788069
Kati ya taasisi nyeti ninazoziheshimu na kuzienzi ni jeshi letu la JWTZ.
Limeonyesha ukomavu wake kwa miaka mingi sana hasa wakati wa vita ya ukombozi.
Ilipoingia 1978, November/December hadi 1979,jeshi lilipitia "baptism of fire" wakati wa Vita ya Kagera.
Kimsingi baada ya vita ile ikadhihirika kuwa Defence Policy iko safi na inafanya kazi katika mazingira ya wakatu ule.
Najua leo jesho liko complex kuliko wakati huo na lina vyo vyake ambavyo ni Think Tanks, kama Natona Defence College pale Kunduchi.
Sasa leo kuna vita hivi vya Ukraine na vile vile Israel na Hamas.
Mbinu zilizo jitokeza na kuwa very effective katika kushambulia adui , ni matumzi ya Drones na Missiles.
Huko Ukraine drones zimekuwa a weapon of choice katika ku target sehemu za adui kwa pande zote.
Hamas juzi kwa vifaa ambavyo waweza kufikiri ni vya mchezo mchezzotu, katumia drones ambazo zimechakaza vibaya miuondombinu ya kijeshi ya Israel iliyokuwa mstari wa mbele.
Kwamab wameuawa wanajeshi zaidi ya 300 wa Israel, katika mashambulio ,hilo na jambo kubwa sana.
Maoni yangu ni Jeshi letu vile vile litazame upya Defence Policy yake ili matumizi ya vifaa hivi vimeze kujumuishwa katika ulinzi wa nchi yetu.
Nawaza tu!
Dah!TUombe vita visitokee, hali ya jeshi letu tunaikuza, huo uzalendo wa karatasi na uongo sina, tunahitaji mafunzo zaidi na zana za kisasa, tuko nyuma mnoo
FPV ni hatari mno
Siasa ziliingia jeshini enzi za mkwereDah!
Mkuu ina maana tuna hali mbaya?
Kwanini tusitumie watafiti wetu waliopo hapahapa nchini?
Mimi mwenyewe kwenye kutengeneza drone naweza sana,tena full automated.
Mwaka kesho nitarusha moja,wakinihitaji niko tayari kufanya kazi nao.
Namba 6 Duniani au Africa masharik?Ni kweli! Nadhani Jeshi letu liko vizuri tu, maana kama linashika namba 6 duniani kwa ubora, ni swala la kuwekeza tu katika Technology ya zana za kivita.
Lakini hata hivyo bajeti ni changamoto, na sijui Serikali inatenga kiasi gani kila mwaka katika bajeti kwa ajili ya Wizara ya Ulinzi!
PlannedTusije kuwa na Jeshi kama hili la Naijeria ya leo ambako Askari wanaiba mafuta kwenye Kifaru hadi kinazimika halafu wanakiacha kinatekwa na Boko Haram
IncompetencePlanned
View attachment 2788069
Kati ya taasisi nyeti ninazoziheshimu na kuzienzi ni jeshi letu la JWTZ.
Limeonyesha ukomavu wake kwa miaka mingi sana hasa wakati wa vita ya ukombozi.
Ilipoingia 1978, November/December hadi 1979,jeshi lilipitia "baptism of fire" wakati wa Vita ya Kagera.
Kimsingi baada ya vita ile ikadhihirika kuwa Defence Policy iko safi na inafanya kazi katika mazingira ya wakati ule.
Najua leo jeshi liko complex kuliko wakati huo na lina vyuo vyake ambavyo ni Think Tanks, kama National Defence College pale Kunduchi.
Sasa leo kuna vita hivi vya Ukraine na vile vile Israel na Hamas.
Mbinu zilizo jitokeza na kuwa very effective katika kushambulia adui , ni matumzi ya Drones na Missiles.
Huko Ukraine drones zimekuwa a weapon of choice katika ku target sehemu za adui kwa pande zote.
Hamas juzi kwa vifaa ambavyo waweza kufikiri ni vya mchezo mchezo tu, katumia drones ambazo zimechakaza vibaya miuondombinu ya kijeshi ya Israel iliyokuwa mstari wa mbele.
Kwamba wameuawa wanajeshi zaidi ya 300 wa Israel, katika mashambulio ,hilo na jambo kubwa sana.
Maoni yangu ni Jeshi letu vile vile litazame upya Defence Policy yake ili matumizi ya vifaa hivi viweze kujumuishwa katika ulinzi wa nchi yetu.
Nawaza tu!
Kwanini Israel miaka yote anasaidiwa na America, Uk; France na silaha kubwa zote wanazo. Lkn juzi wametekwa kama anakamatwa kuku ktk kibanda chake? Tujifunze kwamba Allah ni mkubwa sanaexpand...
Ni kweli! Nadhani Jeshi letu liko vizuri tu, maana kama linashika namba 6 duniani kwa ubora, ni swala la kuwekeza tu katika Technology ya zana za kivita.
Lakini hata hivyo bajeti ni changamoto, na sijui Serikali inatenga kiasi gani kila mwaka katika bajeti kwa ajili ya Wizara ya Ulinzi!