100% Ile intofahamu /Vuguvugu Lililotokea Mwaka Jana kati yeu na Hawa Watsi,Siyo Siri Kama Tungeingia Vitani, Ni wazi Tungeupata Ushidi, Ila Wapiganaj wetu Wengi Wangeangamia Kwa Sababu ya Hivi Vimwanana.
Kwa nini Niseme Hivyo; Hata Biblia Inatumbia Samson, yule Shujaa Mwenye nguvu za Kutisha, Wafilisti Baada ya Kumsoma Kwa muda Mrefu Waliamua Kumtumia Kimwana Delila...
Hata Hivyo Kama Unaombea Kwenda Mstari wa Mbele,Hautawaona hao Vimana kwa Maana wanaonekanaga Baada ya Kuisha Vita pale Wanapokuwa defeated. Utawakuta wameshavua magwanda wakiwa raia wa kawaida.
Usiombe Kukutana nao wakiwa civilian,Utumbo lazima Ukuchomoke na Unafahamu yale Mavisu na Mindu Waliyokuwa Wanaitumia Kwenye mauaji yao ya Kibali ya 1994.
Usiombe Kukutana na Mtsi kwenye territory yake. Waulize WaUtu Utapata Habari yako...