Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,306
- 271,613
Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Mbeya huku akihema na kujaa wasiwasi mwingi hali iliyopoteza kujiamini kwake, Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo amekanusha Jeshi lake kumkamata Mdude Nyagali na kumshikilia popote Mkoani humo
Kamanda huyo amewaomba wote wenye Taarifa zitakazowezesha kupatikana kwa Mdude wawasilane na Jeshi la Polisi ili kusaidia Uchunguzi.
Pia soma > Mdude Nyagali adaiwa kukamatwa na kupigwa na watu waliojitambulisha Polisi
Swali ni hili: Aliyemkamata Mdude ni nani na Je Mdude yuko hai au Wamemuua?
--
Kamanda huyo amewaomba wote wenye Taarifa zitakazowezesha kupatikana kwa Mdude wawasilane na Jeshi la Polisi ili kusaidia Uchunguzi.
Pia soma > Mdude Nyagali adaiwa kukamatwa na kupigwa na watu waliojitambulisha Polisi
Swali ni hili: Aliyemkamata Mdude ni nani na Je Mdude yuko hai au Wamemuua?
--