Kuna traffic hapa ubungo mataa ananyeshewa na mvua balaa hana raincoat wala mwavuli lakini anaongoza magari no foleni no jam.ni mchapakazi ila nawasiwasi na pneumonia
Haya ni mazingira magumu ya kazi.si kweli kuwa kunyeshewa na mvua ni sehemu ya kazi ya polisi.na ni mambo haya yanayosababisha watumishi kutokuwa waadilifu kwa sababu wanaona hawajaliwi
Ndiyo maana mafunzo yao hayafanyiki kunduchi hotel huku wakila kuku, wanatakiwa kuwa wakakamavu. Acha afanye, kaishaokota buku mbili mbili nyingi kwa madereva
Haya ni mazingira magumu ya kazi.si kweli kuwa kunyeshewa na mvua ni sehemu ya kazi ya polisi.na ni mambo haya yanayosababisha watumishi kutokuwa waadilifu kwa sababu wanaona hawajaliwi
mimi nahisi amesahau koti nyumbani, kwa sababu sifikirii hata kidogo kwamba jeshi la polisi haligawi makoti ya mvua kwa askari wake. kwa hiyo mimi kwa maoni yangu pamoja na kumuona huyu kama mchapa kazi lakini ni mzembe wa kusahau vitendea kazi kwa hiyo analitia aibu jeshi la polisi. nashauri aitwe na viongozi wake na kupewa onyo dogo tu la kawaida la mdomo.