Lord K
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 213
- 37
Katika harakati za kuipinga na kuiondoa CCM madarakani ,humu jamii forum tunaanzisha rasmi jeshi la kupinga kuonewa,kunyanyaswa pamoja na udhalimu mwingine wowote unaofanywa na serikali hii ya CCM.Kwa kuanzia tuanze kuhamasishana kwa kukumbushana unyama uliofanywa na serikali hii ili tuwe na ari ya kusonga mbele.....
Naanza kwa kukumbushia kumwagiwa maji ya kuwasha wazee waliokuwa Jumuia ya Africa Mashariki wanaoidai serikali
Polisi kupiga risasi na kuwaua waandamanaji Arusha
Jazzia na wewe yakwako humo...............
Naanza kwa kukumbushia kumwagiwa maji ya kuwasha wazee waliokuwa Jumuia ya Africa Mashariki wanaoidai serikali
Polisi kupiga risasi na kuwaua waandamanaji Arusha
Jazzia na wewe yakwako humo...............