Baada ya Hamas kushindwa vita waliyoianzisha wao wenyewe Oct 07,2023 sasa hivi wanafuatwa popote walipo na kuuwawa na wengine waliokuwa wamebaki kwenye mahandaki
Njaa imeanza kuwatoa huko na wanaojisalimisha wanatiwa mbaroni na wanaokaidi wanaangamizwa papa kwa papo.
Sasa hivi hakuna Nywinywinywi wala nyonyonyo kwa Hamas
Hamas Bado ni nightmare Kwa mzayuni, ni kama kimbwengo japo mmewahadaa Kwa cease fire ya mchongo lakini na wao wanajipanga upya hii vita Gaza huwezi kuikalia ile
Hamas Bado ni nightmare Kwa mzayuni, ni kama kimbwengo japo mmewahadaa Kwa cease fire ya mchongo lakini na wao wanajipanga upya hii vita Gaza huwezi kuikalia ile