Haaaa Ebana na uzee Wang wote huu nilikua sijui kua kumbe wale wanaomwaga Vitu ndo Jeshi la Akiba...
Nilikua nishajipa Jina Kua kuazia Leo mm Jeshi la Akiba.
Haaaa Ebana na uzee Wang wote huu nilikua sijui kua kumbe wale wanaomwaga Vitu ndo Jeshi la Akiba...
Nilikua nishajipa Jina Kua kuazia Leo mm Jeshi la Akiba.
Mi naomba kuuliza, hivi security guards nao ni jeshi? Mbona huwa na paredi na kukakamaa kama majeshi mengine? Je ikitokea vita hao wajuba hawawezi kwenda vitani? Maana wanajua kutumia bunduki wale