USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 11,718
- 27,812
Kuna siku Baba alisema anatutoa OUT...! Tulijiandaa tukavaa vizuri ila tukashangaa tunaenda kukagua daraja la Kigamboni na sisi tukageuka wasaidizi wake akawa anaomba tumpigie picha...! Tulivyomaliza akasema OUTING imeisha turudi nyumbani...! Akatupatia hela kidogo"-JESSICA