Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,953
- 4,326
Hakuna ufisadi uliofanyika au ulioibuliwa na huyo Kishoa.Kama hali ndio hii sasa huo ufisadi Upo wapi? Au shauri kuwa kwenye vyombo vya kimahakama ni ufisadi? Kama ni kweli kwamba hao BG wamedaiwa kodi na mamlaka husika halafu huyu anakuja na ufisadi basi nitawashangaa hao wanasiasa