Jesca Kishoa Kafulila aibua ufisadi mwingine kampuni ya Shell

Mwanasheria mkuu wa serikali kesha lijibu vizuri tu suala hilo. Sasa wewe mwanahabari huru unalileta humu jf bila kuweka majibu ya serikali utakuwa mwanahabari gani?

Kwa kifupi AG kasema, baada ya kupata habari za mauziano hayo yaliyofanyika kwenye ngazi za nje ya nchi (globally) kati ya Shell na BG (British Gas), mamlaka yetu ya mapato (TRA) baada ya ukokotozi iliwapelekea madai ya hizo dolla hao Shell kama capital tax gain wanayotakiwa kutulipa kwa mjibu wa sheria. Shell walilalamika kuwa kiasi hicho ni kikubwa sana na hatimaye kufungua kesi kwenye International Abiritarration Court. Hadi sasa hukumu ya hiyo mahakama bado haijatolewa. Wanalalamikia kodi hiyo ipunguzwe kwa kiasi kikubwa.

Huo ndiyo mvutano kati ya TRA na hiyo Shell. Sababu siyo rushwa, ingalikuwa rushwa wangalikuwa wameshamalizana kati ya TRA na Shell na sisi kuambulia kiasi kidogo cha hiyo kodi. TRA imewakomalia sawa sawa hao wazungu. Shell na BG ni makampuni ya Ufaransa na Uingereza, na hiyo International Abiritarration Court ni ya huko huko. Huo ndiyo mfumo wa neocolonism unavyofanya kazi na hivyo kuna uwezekano mkubwa tusiambulie cho chote cha maana. Hakuna cha win-win situation kwenye mfumo huo. Shell ndiyo wamiliki wa gesi yetu ya Mtwara kwa sasa baada ya kupasiwa na hao British Gas. Afadhali tunajenga Stiglers Gorge yetu kwa fedha zetu wenyewe (hata kama ni fedha ya mkopo) na kuachana na haya makampuni ya kinyonyaji.
 
Mwanasheria mkuu wa serikali kesha lijibu vizuri tu suala hilo. Sasa wewe mwanahabari huru unalileta humu jf bila kuweka majibu ya serikali utakuwa mwanahabari gani?

Kwa kifupi AG kasema, baada ya kupata habari za mauziano hayo yaliyofanyika kwenye ngazi za nje ya nchi (globally) kati ya Shell na BG (British Gas), mamlaka yetu ya mapato (TRA) baada ya ukokotozi iliwapelekea madai ya hizo dolla hao Shell kama capital tax gain wanayotakiwa kutulipa kwa mjibu wa sheria. Shell walilalamika kuwa kiasi hicho ni kikubwa sana na hatimaye kufungua kesi kwenye International Abiritarration Court. Hadi sasa hukumu ya hiyo mahakama bado haijatolewa. Wanalalamikia kodi hiyo ipunguzwe kwa kiasi kikubwa.

Huo ndiyo mvutano kati ya TRA na hiyo Shell. Sababu siyo rushwa, ingalikuwa rushwa wangalikuwa wameshamalizana kati ya TRA na Shell na sisi kuambulia kiasi kidogo cha hiyo kodi. TRA imewakomalia sawa sawa hao wazungu. Shell na BG ni makampuni ya Ufaransa na Uingereza, na hiyo International Abiritarration Court ni ya huko huko. Huo ndiyo mfumo wa neocolonism unavyofanya kazi na hivyo kuna uwezekano mkubwa tusiambulie cho chote cha maana. Hakuna cha win-win situation kwenye mfumo huo. Shell ndiyo wamiliki wa gesi yetu ya Mtwara kwa sasa baada ya kupasiwa na hao British Gas. Afadhali tunajenga Stiglers Gorge yetu kwa fedha zetu wenyewe (hata kama ni fedha ya mkopo) na kuachana na haya makampuni ya kinyonyaji.
 
Mwanasheria mkuu wa serikali kesha lijibu vizuri tu suala hilo. Sasa wewe mwanahabari huru unalileta humu jf bila kuweka majibu ya serikali utakuwa mwanahabari gani?

Kwa kifupi AG kasema, baada ya kupata habari za mauziano hayo yaliyofanyika kwenye ngazi za nje ya nchi (globally) kati ya Shell na BG (British Gas), mamlaka yetu ya mapato (TRA) baada ya ukokotozi iliwapelekea madai ya hizo dolla hao Shell kama capital tax gain wanayotakiwa kutulipa kwa mjibu wa sheria. Shell walilalamika kuwa kiasi hicho ni kikubwa sana na hatimaye kufungua kesi kwenye International Abiritarration Court. Hadi sasa hukumu ya hiyo mahakama bado haijatolewa. Wanalalamikia kodi hiyo ipunguzwe kwa kiasi kikubwa.

Huo ndiyo mvutano kati ya TRA na hiyo Shell. Sababu siyo rushwa, ingalikuwa rushwa wangalikuwa wameshamalizana kati ya TRA na Shell na sisi kuambulia kiasi kidogo cha hiyo kodi. TRA imewakomalia sawa sawa hao wazungu. Shell na BG ni makampuni ya Ufaransa na Uingereza, na hiyo International Abiritarration Court ni ya huko huko. Huo ndiyo mfumo wa neocolonism unavyofanya kazi na hivyo kuna uwezekano mkubwa tusiambulie cho chote cha maana. Hakuna cha win-win situation kwenye mfumo huo. Shell ndiyo wamiliki wa gesi yetu ya Mtwara kwa sasa baada ya kupasiwa na hao British Gas. Afadhali tunajenga Stiglers Gorge yetu kwa fedha zetu wenyewe (hata kama ni fedha ya mkopo) na kuachana na haya makampuni ya kinyonyaji.
Umeongea vizuri sana akini hii sentensi "Afadhali tunajenga Stiglers Gorge yetu kwa fedha zetu wenyewe (hata kama ni fedha ya mkopo) na kuachana na haya makampuni ya kinyonyaji" ina ukakasi! Turelax tuendelee kunyonywa kisa tuna alternative ya Stiglers George? hebu nifafanulie hapo kidogo, sijakuelewa kabisa!
 
Umeongea vizuri sana akini hii sentensi "Afadhali tunajenga Stiglers Gorge yetu kwa fedha zetu wenyewe (hata kama ni fedha ya mkopo) na kuachana na haya makampuni ya kinyonyaji" ina ukakasi! Turelax tuendelee kunyonywa kisa tuna alternative ya Stiglers George? hebu nifafanulie hapo kidogo, sijakuelewa kabisa!
Hatuta relax tuendelee kunyonywa. Mikataba yote ya kinyonyaji ya makampuni haya yanapitiwa upya na AG wetu ili ya comform na sheria yetu mpya ya win win of our natural resources. Watatupeleka kwenye mahakama zao hizo wanazoziita za kimataifa lakini hatutakubali waendelee kutunyonya. Wakati tunaendelea kuvutana nao kisheria sisi tunaendelea na ujenzi wa Stieglers Gorge kwa fedha zetu wenyewe maana hatujui huo mvutano wa kisheria utachukua miaka mingapi. Hata hatima ya huo mvutano hatujui utakuwa vipi, na inawezekana ukawa ni sisi kulazimika kuyatimua makampuni haya kutoka nchini kwetu kwa gharama ye yote ile!
 
Umeongea vizuri sana akini hii sentensi "Afadhali tunajenga Stiglers Gorge yetu kwa fedha zetu wenyewe (hata kama ni fedha ya mkopo) na kuachana na haya makampuni ya kinyonyaji" ina ukakasi! Turelax tuendelee kunyonywa kisa tuna alternative ya Stiglers George? hebu nifafanulie hapo kidogo, sijakuelewa kabisa!
Hatuta relax tuendelee kunyonywa. Mikataba yote ya kinyonyaji ya makampuni haya yanapitiwa upya na AG wetu ili ya comform na sheria yetu mpya ya win win of our natural resources. Watatupeleka kwenye mahakama zao hizo wanazoziita za kimataifa lakini hatutakubali waendelee kutunyonya. Wakati tunaendelea kuvutana nao kisheria sisi tunaendelea na ujenzi wa Stieglers Gorge kwa fedha zetu wenyewe maana hatujui huo mvutano wa kisheria utachukua miaka mingapi. Hata hatima ya huo mvutano hatujui utakuwa vipi, na inawezekana ukawa ni sisi kulazimika kuyatimua makampuni haya kutoka nchini kwetu kwa gharama ye yote ile!
 
Hana lolote anataka hao Shell wamuhonge
Royal shell ni kampuni ya Holland ilio haribu mazingira kwenye Niger Delta inashiriki kukiuka haki za binadamu barani afrika
Hapa kwetu kuna viongozi wanajiona wajanja wakiingia mikataba na hao wazungu ,kuna walouza zahabu na mchanga Wake ,kuna walo nunua ndege ya raisi na kusema hata tukila majani ndege itanunuliwa kuna vichwa vya treni vichakavu kuna umeme wa zarura kuna bomba la gesi nk. Kikwete yeye alitaka kupitisha barabara serengeti magufuli yeye anataka kukata miti na kuizamisha hifazi ya kwenye bwawa la maji .huu wanao ufanya sio ujanja ni kijizalilisha na kuizalilisha nchi na wananchi Wake .
Ccm imewanyima elimu wananchi zaidi ya miaka 50 sasa, na sasa imeamua kuwakosesha bunge live wazidi kuwa wajinga . Vyombo vya habari vinaandika magufuli kafanya hili na lile ni kumsifu tu .
Jamani elimu ndo mushakoseswa,tumieni basi angalau hizo simu zenu kujielimisha . Kwa mfano Hao Shell na Niger Delta, umeme wa maji huko China na misri umeleta asari gani kabla hamjaisifu hio ccm.
 
Sidhani kama mleta hoja anajua anachoandika, Hivi wana JF kampuni ya SHELL ipo Tz.?
Kama hujui kama shell ipo au haipo tz basi we kilaza na syo mleta hoja maana yeye ana uelewa kuliko wewe.sasa kama haipo si angejibiwa huko bungeni FCC NA TRA?
 
Mwanasheria mkuu wa serikali kesha lijibu vizuri tu suala hilo. Sasa wewe mwanahabari huru unalileta humu jf bila kuweka majibu ya serikali utakuwa mwanahabari gani?

Kwa kifupi AG kasema, baada ya kupata habari za mauziano hayo yaliyofanyika kwenye ngazi za nje ya nchi (globally) kati ya Shell na BG (British Gas), mamlaka yetu ya mapato (TRA) baada ya ukokotozi iliwapelekea madai ya hizo dolla hao Shell kama capital tax gain wanayotakiwa kutulipa kwa mjibu wa sheria. Shell walilalamika kuwa kiasi hicho ni kikubwa sana na hatimaye kufungua kesi kwenye International Abiritarration Court. Hadi sasa hukumu ya hiyo mahakama bado haijatolewa. Wanalalamikia kodi hiyo ipunguzwe kwa kiasi kikubwa.

Huo ndiyo mvutano kati ya TRA na hiyo Shell. Sababu siyo rushwa, ingalikuwa rushwa wangalikuwa wameshamalizana kati ya TRA na Shell na sisi kuambulia kiasi kidogo cha hiyo kodi. TRA imewakomalia sawa sawa hao wazungu. Shell na BG ni makampuni ya Ufaransa na Uingereza, na hiyo International Abiritarration Court ni ya huko huko. Huo ndiyo mfumo wa neocolonism unavyofanya kazi na hivyo kuna uwezekano mkubwa tusiambulie cho chote cha maana. Hakuna cha win-win situation kwenye mfumo huo. Shell ndiyo wamiliki wa gesi yetu ya Mtwara kwa sasa baada ya kupasiwa na hao British Gas. Afadhali tunajenga Stiglers Gorge yetu kwa fedha zetu wenyewe (hata kama ni fedha ya mkopo) na kuachana na haya makampuni ya kinyonyaji.
Kama hali ndio hii sasa huo ufisadi Upo wapi? Au shauri kuwa kwenye vyombo vya kimahakama ni ufisadi? Kama ni kweli kwamba hao BG wamedaiwa kodi na mamlaka husika halafu huyu anakuja na ufisadi basi nitawashangaa hao wanasiasa
 
Shell wameinunua kampuni ya utafiti, uchimbaji wa mafuta na Gas, kampuni iliyonunuliwa inaitwa BG au British Gas, mtu aliyeibua huu Ufisadi ni David Silinde wakati akichangia Bajeti ya Wizara ya nishati
 
Mwanasheria mkuu wa serikali kesha lijibu vizuri tu suala hilo. Sasa wewe mwanahabari huru unalileta humu jf bila kuweka majibu ya serikali utakuwa mwanahabari gani?

Kwa kifupi AG kasema, baada ya kupata habari za mauziano hayo yaliyofanyika kwenye ngazi za nje ya nchi (globally) kati ya Shell na BG (British Gas), mamlaka yetu ya mapato (TRA) baada ya ukokotozi iliwapelekea madai ya hizo dolla hao Shell kama capital tax gain wanayotakiwa kutulipa kwa mjibu wa sheria. Shell walilalamika kuwa kiasi hicho ni kikubwa sana na hatimaye kufungua kesi kwenye International Abiritarration Court. Hadi sasa hukumu ya hiyo mahakama bado haijatolewa. Wanalalamikia kodi hiyo ipunguzwe kwa kiasi kikubwa.

Huo ndiyo mvutano kati ya TRA na hiyo Shell. Sababu siyo rushwa, ingalikuwa rushwa wangalikuwa wameshamalizana kati ya TRA na Shell na sisi kuambulia kiasi kidogo cha hiyo kodi. TRA imewakomalia sawa sawa hao wazungu. Shell na BG ni makampuni ya Ufaransa na Uingereza, na hiyo International Abiritarration Court ni ya huko huko. Huo ndiyo mfumo wa neocolonism unavyofanya kazi na hivyo kuna uwezekano mkubwa tusiambulie cho chote cha maana. Hakuna cha win-win situation kwenye mfumo huo. Shell ndiyo wamiliki wa gesi yetu ya Mtwara kwa sasa baada ya kupasiwa na hao British Gas. Afadhali tunajenga Stiglers Gorge yetu kwa fedha zetu wenyewe (hata kama ni fedha ya mkopo) na kuachana na haya makampuni ya kinyonyaji.
Huu nao ndio usen *ge wa kufa mtu, hivi tunashitakiwa nini BG na SHELL hawakujua kuwa kuna sheria kama hiyo, kwa hiyo tunaweza kushindwa kesi juu ya sheria wanaopaswa kuifuata? Nchi ya maajabu hii.
 
Huu nao ndio usen *ge wa kufa mtu, hivi tunashitakiwa nini BG na SHELL hawakujua kuwa kuna sheria kama hiyo, kwa hiyo tunaweza kushindwa kesi juu ya sheria wanaopaswa kuifuata? Nchi ya maajabu hii.
Hizo ni mahakama zao zinazojiita ni za kimataifa. Hazitambui sheria zetu. Zinaangalia mikataba tu ya nyuma tuliyokubaliana nao hapo mwanzo. Hivyo uwezekano wa kushindwa kesi ni mkubwa.
 
Back
Top Bottom