Bornvilla
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 924
- 271
Eti anaacha soka kwasababu ya adhabu aliyopewa kuwa ni kubwa sana.Aende zake akafanye biashara, soka limemshinda kwani Tanzania hii ya watu milioni 40 ndie mchezaji pekee? Hata timu nzima ya Yanga wakiamua kuacha soka na viongozi wake, Yanga haifi kwasababu ni ya watanzania.Kama alidhani watu watababaika basi amekosea.Namshangaa sana kwani kiwango cha kulingia alichonacho kikowapi? Akumbuke kuwa mshahara wa dhambi ni mauti.