mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,252
Nadhani Yanga wakati umefika wa kuacha kucheza mpira kwenye magazeti ona ilivyowagharimu.Bw.Jerry Muro nadhani wakimataifa umewaonani TP Mazembe sisi Yanga nadhani ni wa kitaifa tu.
Wa kimataifa, ndembendembe mlalo wa mende chaaaaliJerry muro anawapa shida sn watu unaweza kuta hadi wakilala na wake zao wanamuota.
Nyie mlipigwa vitatu hapo hapo Taifa,mnavyoishangilia Mazembe inaonesha ni jinsi gani mliwamisi.Wa kimataifa, ndembendembe mlalo wa mende chaaaali
yaan we ni mwehu sio bureWa kimataifa, ndembendembe mlalo wa mende chaaaali
Hahah Kwani jana wa kimataifa walifanywa nini?yaan we ni mwehu sio bure